Faida za kuwa mtoto wa Kigogo!

Hello wana Chit chat,
Nipo mapumzikoni na nimeona nipumzike kidogo na nipo kistarehe zaidi. Nafikiri hapa ndipo kwenye jukwaa halisi la kupata burudani ya kila aina.

Nilikuwa nafikiria kwa sauti faida mtu anazipata akiwa mtoto wa kigogo. Aisee nimeshangaa najifurahia mwenyewe! Mzazi wako akiwa kwenye nafasi kuna faida nyingi unazipata automatically kiasi kwamba wengine wanaambulia patupu!! Unaheshimika na kila mtu kwa nafasi tu ya mzazi wako! Husumbuliwi popote, unakuwa na access ya kila mahali, msaada unaupata popote na kama mtu hakujui unajitambulisha tu kwa jina la mzazi na kila kinakuwia bwerereee!

Ushauri wangu, tupigane tuwe vigogo aisee ili wanetu na vizazi vyetu vifaidiiii!! Kama hujaanza, anza sasa!!

Utaisoma namba
 
Faida ya kuwa mtoto wa kigogo. 1Virahisi sana kupata Ajira. 2kuendesha Miradi ya Mzee. 3 unakuwa upo kwenye system. 4Virahisi sana kwenda kusoma abroad (kupata Visa). 5 Hakuna kusumbuka utalisi jimbo au cheo kwenye chama. 6Bonga saba. 7 kupewa nafasi nyeti. 8Kuendesha au kumilika dinga ya maana. 8In short unaenjoy sana lifee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida ya kuwa mtoto wa kigogo. 1Virahisi sana kupata Ajira. 2kuendesha Miradi ya Mzee. 3 unakuwa upo kwenye system. 4Virahisi sana kwenda kusoma abroad (kupata Visa). 5 Hakuna kusumbuka utalisi jimbo au cheo kwenye chama. 6Bonga saba. 7 kupewa nafasi nyeti. 8Kuendesha au kumilika dinga ya maana. 8In short unaenjoy sana lifee

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu uko sahihi
Si unaona Le Mutuz anavyotesa
 
Back
Top Bottom