Bamia inatibu kabisa tatizo la upungufu wa nguvu za kujamiiana kwa jinsia zote hasa wanaume.
Huponya kabisa wapiga punyeto.
Miss Zomboko eti hii nayo ni kweli au porojo ... nataka nikanunue KIROBA KABISAA NIKIWEKE NDANI😜Bamia inatibu kabisa tatizo la upungufu wa nguvu za kujamiiana kwa jinsia zote hasa wanaume.
Huponya kabisa wapiga punyeto.
unatumia kutwa mara ngapiHapo kwenye vidonda vya tumbo mimi ni shuhuda zinasaidia sana ukichemsha kidogo ukanywa supu yake na kuzitafuna zenyewe,
Gas itatoka, maumivu ya tumbo yataisha.