chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
wote humu ni watumiaji wa mitandao ya kijamii,mawasiliano na n.k
kitu ambacho watu tunakiona kama kitendo kisichoweza kuelezeka kama kublock.
kublock kinaweza kukupunguzia majibishano,kujisikia vibaya endapo kuna jambo lina kuelekezea wewe kama maoni,status,watu wakufatiliao.
faida za kublock
*kukujengea heshima ya hatari la jambo lolote
*kukupungizia wanaotaka kukusema,kukuoneshea
*kupunguza maadui na wenye tabia za ajabu
*kujiondoa au kuepuka kwenye vishawishi
*kukupunguzia mawazo na mtu ambaye una ugonvi naye,wivu naye,rafiki na n.k
kitu ambacho watu tunakiona kama kitendo kisichoweza kuelezeka kama kublock.
kublock kinaweza kukupunguzia majibishano,kujisikia vibaya endapo kuna jambo lina kuelekezea wewe kama maoni,status,watu wakufatiliao.
faida za kublock
*kukujengea heshima ya hatari la jambo lolote
*kukupungizia wanaotaka kukusema,kukuoneshea
*kupunguza maadui na wenye tabia za ajabu
*kujiondoa au kuepuka kwenye vishawishi
*kukupunguzia mawazo na mtu ambaye una ugonvi naye,wivu naye,rafiki na n.k