Ahsante sanaKuna chemikali inaitwa Bilirubin inapatkana kwenye
nyongo, kazi yake ni kupunguza harufu ya kinyesi huenda Una tatizo la kutokuwa nayo ya kutosha. Nenda Hospitali kawaone Madaktari wakupime .Au Tumia Dawa hii hapa chini fanya....
Ahsante sanaKuna chemikali inaitwa Bilirubin inapatkana kwenye
nyongo, kazi yake ni kupunguza harufu ya kinyesi huenda Una tatizo la kutokuwa nayo ya kutosha. Nenda Hospitali kawaone Madaktari wakupime .Au Tumia Dawa hii hapa chini fanya....
Alijipaka labda Asali feki sio Asali Orignal . Asali Ukimpaka hata Maiti basi hawezi kuoza mwili wake hata akae miaka 100 bila ya kuwekwa kwenye chumba cha barafu basi huyo maiti hawezi kuoza kwa ajili.MziziMkavu kiukweli hata sibishani na wewe kwani huwa napata elimu kupitia maandishi yako sana. kwanza nimeuliza kitunguu swaumu hakina madhara kwenye uke?....
Mbona nimeandika Dawa nyingi tu za nguvu ya Kiume? Unataka Dawa ya nguvu ya Kiume wewe? haya chukuwa hii hapa Chukua Mdalasini pamoja na asali uchanganye kwa pamoja atie na maji ya Uvuguvugu , halafu kila chakula chako kisikose kipande cha tango.
Tafuta pesa nikutibie Tatizo lako la kuwahi kufika kileleni ukitumia dawa zangu utakuwa unachelewa kufika kileleni ukiweza kunitafuta bonyeza hapa.MawasilianoMkuu samahani,
naomba hapo uelezee vizuri
maana mimi ni muhanga wa hili tatizo la kuwahi kufika
sasa katika hiyo dawa ulitaja vitu vinne lakini umeelezea uwatu na tangawizi tu ,,, mdalasini na asali hujauelezea
samahani mkuu kwa usumbufu naomba uelezee vizuri hapo
tupatie maelezo jinsi ya kutumia utakuwa umetusaidia wengi.
Asante mkuu kwa elimu jamiiforum I think yapaswa kuwa best educative and inspiring forum in tanzania and east and central Africa na hata Africa kwa ujumla maana vitu vinavyojadiliwa hapa vina tija sana kwa jamiiMkuu ukitaka kutumia vizuri zaidi,kama una blender basi vimenye kadhaa kama viwili vizima (itakuwa na vipunje kama 14 hivi) halafu mix na tangawizi kisha tia kwenye maji vuguvugu kisha blend...