Homa ya Manjano (Homa ya Ini): Zijue athari, kinga na tiba za ugonjwa huu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,293
33,078
Hepatitis b (Homa ya Ini) ni maambukizi ya virusi kwenye Ini(Liver) .
Ini likiambukizwa hatuna matibabu kamili na yakueleweka Tanzania. Hepatitis (Homa ya Ini) imekuwa tishio kwa miaka hii na hasa kwa vijana.

JINSI HOMA YA INI INAVYOENEA

1.Ngono isiyo salama

2.Kuchangia nguo(Jasho na maji maji)

3.Romance(maji maji)

4.Kuchangia vifaa vyenye ncha kali

DALILI ZAKE NI ZIPI?

Dalili zake hutokea wakati wa hatua za mwisho za kuharibika kwa Ini. kwa hiyo hakuna dalili za awali za ugonjwa huu.

1.Macho na mwili kuwa vya njano

2.Tumbo kuvimba

3.Kutapika damu

4.Kukosa hamu ya kula kabisa

5.Tumbo kuvimba(Abdominal distention)

6.Tumbo kuuma linapokugwa hasa sehemu ya ini(Epigastric pain on palpation)

MATIBU YAKE YAKOJE?
Bado ni changamoto na hasa kwa Tanzania kwani ni wachache sana wanaopenda kupima afya na kujua hali zao za Ini na hivyo kuchukua hatua .Kwa kuwa dalili hujitokeza dakika za mwisho za kufa kabisa kwa Ini kwa hiyo tiba kamili ni kubadilisha Ini kitu ambacho mazingira yetu ni changamoto sana.

Note: Ini liko moja tu tofauti na figo ambazo ziko mbili kwahiyo hata kubadilisha ina mhitaji mtoaji afe ili mgonjwa aishi.

CHANJO YA HOMA YA INI
Siyo wote wanaweza kupata ugonjwa huu,ukipata chanjo uko salama kwa asilimia 100%

NANI YUKO HATARI KUPATA UGONJWA HUU?

1. Wanaofanya ngono uzembe pasipokuwa na chanjo.

2. Wafanyakazi wa Idara ya afya hasa wauguzi na madaktari wanaogusa wagonjwa mara kwa mara pasipo kuwa na chanjo!

3. Watoto wanaozaliwa na mama mwenye vimelea vya virusi vya homa ya Ini.

MABARAZA YA DUNIA YANASEMAJE KUHUSU UGONJWA HUU TISHIO.

1. Kila mjamzito anaye anza kliniki kwa mara ya kwanza lazima apime ugonjwa huu ili kumlinda mtoto anayezaliwa.Kwa Bahati mbaya wanao pimwa ni wale wenye uwezo na wenye bima za afya ambao hujifungulia kwenye hospitali kubwa na zenye vifaa; Aga khani, Mihimbili, TMJ, KAIRUKI, Hindu mandal, Mbeya rufaa, Bugando, Selian,n.k

Note: Kiwango cha vifo vya vijana wa kiume kwa ugonjwa huu ni kubwa sana ukilinganisha na wanawake.

UFANANO NA UTOFAUTI WA HOMA YA INI NA UKIMWI.

A. UFANANO

Hepatitis ina fanana na ugonjwa wa ukimwi kwa muktadha huu,

1. Jinsi Ukimwi unavyo enea ni sawa na Hepatitis.

2. Hakuna tiba rasmi kwa magonjwa haya yote mawili.

B) UTOFAUTI

1. Homa ya Ini inachanjo, Ukimwi hauna.

2. Ukimwi una dawa za kurefusha maisha,Hepatitis haina unapewa dawa za kupunguza maumivu ukisubiri kuondoka!

3. Virusi vya Homa ya Ini hukaa kwenye maji maji ,Mate(Denda) ,Jasho na damu. Wakati virusi vya Ukimwi hukaa kwenye damu tu.

4. Virusi vya homa ya Ini hukaa nje ya mwili(Kwenye nguo,wembe n.k) kwa siku saba,wakati virusi vya ukimwi hukaa dakika 30 tu.

5. Ugonjwa wa Ini ukiona dalili zake baada ya miezi sita mgonjwa hufariki, Wakati ukimwi ukiona dalili na ukawahi hospitali una ishi miaka zaidi na zaidi.

BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU UGONJWA HUU
Mim ni kijana wa makamo tu ila miezi kadhaa nilikuwa nataka kumuongezea damu rafiki yangu kwa kuwa nina group O ndipo madaktar walipopima damu yangu ikagundulika ina vïrusi kwenye ini aina ya Hepatitis B.

Madaktari wakasema nianze kutumia dawa iitwayo Truvador ndani ya miezi sita nitapona lakini nimetumia mpaka kukamilisha dozi hiyo nikakaa miezi mitatu bila kwenda kupima tena nikiwa nafikiri nimepona kwa sababu sikuwa na hii elimu ya ugonjwa huu.

Nilipoenda kupima baada ya kuwa nasikia uchovu nilikuta bado homa ipo halafu daktari mmoja akaniambia kwa siri kuwa huo ugonjwa hauna dawa ya moja kwa moja ya hospitalini.

Hïvyo ndugu zangu naomba msaada mwenye kujua dawa hakika za kuponyesha anisaidie.
---
Salaam natanguliza!!

jamani nimegundulika kuwa nina homa ya manjano pale Regency, Dr wng aliniambia hakuna dawa ya kunipa.

Mbaya zaidi nina mimba ya wk 19 sasa!!

Napata hofu tangu jana nilipopokea haya majibu!! sijui nifanyenini, japo nimeshauriwa kula miwa na maji ya madafu kwa wingi.

Najua madaktari wa JF mtanisaidia kama mlivyofanya mwanzo.

MziziMkavu uko wapi??
===
MAONI YA WADAU WA JF KUHUSU GONJWA HILI

Ujue ugonjwa wa homa ya ini

Utangulizi kwa kifupi

Hepatitis b (Homa ya Ini) ni maambukizi ya virusi kwenye Ini(Liver) .
Ini likiambukizwa hatuna matibabu kamili na yakueleweka Tanzania. Hepatitis (Homa ya Ini) imekuwa tishio kwa miaka hii na hasa kwa vijana.

JINSI HOMA YA INI INAVYOENEA

1.Ngono isiyo salama

2.Kuchangia nguo(Jasho na maji maji)

3.Romance(maji maji)

4.Kuchangia vifaa vyenye ncha kali

DALILI ZAKE NI ZIPI?

Dalili zake hutokea wakati wa hatua za mwisho za kuharibika kwa Ini. kwa hiyo hakuna dalili za awali za ugonjwa huu.

1.Macho na mwili kuwa vya njano

2.Tumbo kuvimba

3.Kutapika damu

4.Kukosa hamu ya kula kabisa

5.Tumbo kuvimba(Abdominal distention)

6.Tumbo kuuma linapokugwa hasa sehemu ya ini(Epigastric pain on palpation)

MATIBU YAKE YAKOJE?

Bado ni changamoto na hasa kwa Tanzania kwani ni wachache sana wanaopenda kupima afya na kujua hali zao za Ini na hivyo kuchukua hatua .Kwa kuwa dalili hujitokeza dakika za mwisho za kufa kabisa kwa Ini kwa hiyo tiba kamili ni kubadilisha Ini kitu ambacho mazingira yetu ni changamoto sana.

Note: Ini liko moja tu tofauti na figo ambazo ziko mbili kwahiyo hata kubadilisha ina mhitaji mtoaji afe ili mgonjwa aishi.

CHANJO YA HOMA YA INI

Siyo wote wanaweza kupata ugonjwa huu,ukipata chanjo uko salama kwa asilimia 100%

NANI YUKO HATARI KUPATA UGONJWA HUU?

1. Wanaofanya ngono uzembe pasipokuwa na chanjo.

2. Wafanyakazi wa Idara ya afya hasa wauguzi na madaktari wanaogusa wagonjwa mara kwa mara pasipo kuwa na chanjo!

3. Watoto wanaozaliwa na mama mwenye vimelea vya virusi vya homa ya Ini.

MABARAZA YA DUNIA YANASEMAJE KUHUSU UGONJWA HUU TISHIO.

1. Kila mjamzito anaye anza kliniki kwa mara ya kwanza lazima apime ugonjwa huu ili kumlinda mtoto anayezaliwa.Kwa Bahati mbaya wanao pimwa ni wale wenye uwezo na wenye bima za afya ambao hujifungulia kwenye hospitali kubwa na zenye vifaa; Aga khani, Mihimbili, TMJ, KAIRUKI, Hindu mandal, Mbeya rufaa, Bugando, Selian,n.k

Note: Kiwango cha vifo vya vijana wa kiume kwa ugonjwa huu ni kubwa sana ukilinganisha na wanawake.

UFANANO NA UTOFAUTI WA HOMA YA INI NA UKIMWI.

A. UFANANO

Hepatitis ina fanana na ugonjwa wa ukimwi kwa muktadha huu,

1. Jinsi Ukimwi unavyo enea ni sawa na Hepatitis.

2. Hakuna tiba rasmi kwa magonjwa haya yote mawili.

B) UTOFAUTI

1. Homa ya Ini inachanjo, Ukimwi hauna.

2. Ukimwi una dawa za kurefusha maisha,Hepatitis haina unapewa dawa za kupunguza maumivu ukisubiri kuondoka!

3. Virusi vya Homa ya Ini hukaa kwenye maji maji ,Mate(Denda) ,Jasho na damu. Wakati virusi vya Ukimwi hukaa kwenye damu tu.

4. Virusi vya homa ya Ini hukaa nje ya mwili(Kwenye nguo,wembe n.k) kwa siku saba,wakati virusi vya ukimwi hukaa dakika 30 tu.

5. Ugonjwa wa Ini ukiona dalili zake baada ya miezi sita mgonjwa hufariki, Wakati ukimwi ukiona dalili na ukawahi hospitali una ishi miaka zaidi na zaidi.

Dr.Dyumurushi,(B.E,MD,MPH).
---
Pole kw akupatwa na Homa ya manjano aka (YEllow Fever) Chukua punje 1 ya kitunguu Saumu kibichi tia ndani ya chai au maji ya Uvuguvugu kunywa kila siku asubuhi na kila baada ya masaa 4 uwe unakula hicho kitunguu Saumu punje 1 tumia kwa siku 14 utapona hiyo Maradhi yako ya Homa ya manjano. Dawa ingine Tumia Chukuwa Ubani Miti aka mfano kama (Gundi) nunuwa gramu 50 tia dawa ndani ya maji lita 2 kwenye sufuria ya kupikia funika vizuri chemsha kwa dakika 20 kisha chuja hayo maji yaweke kwenye chupa utakuwa unachukuwa hayo maji glasi 1 unatia ndani yake Asali vijiko 2 vikubwa koroga vizuri unywe asubuhi kabla ya kula kitu na usiku kila siku utapona.Tumia siku 21 Huo Ubani Miti aka (Gundi)
unapatatikana katika maduka ya dawa za Kisuna kama upo mjini kariakoo kaulize utapata.Ikiisha dawa tengeneza dawa ingine tena.

View attachment 484627

View attachment 484628
Ubani miti aka (Gundi) Kiingereza inaitwa gum Arabic
 
Salaam natanguliza!!

jamani nimegundulika kuwa nina homa ya manjano pale Regency, Dr wng aliniambia hakuna dawa ya kunipa.

Mbaya zaidi nina mimba ya wk 19 sasa!!

Napata hofu tangu jana nilipopokea haya majibu!! sijui nifanyenini, japo nimeshauriwa kula miwa na maji ya madafu kwa wingi.

Najua madaktari wa JF mtanisaidia kama mlivyofanya mwanzo.

MziziMkavu uko wapi??
 
SUZANE wewe ndio unaumwa? Dah pole sana rafiki, ndo mana ulipotea kidogo, pole sana mama. Natamani ningekua doctor
 
Last edited by a moderator:
Pole sana my dear jaribu kucheki na huyu mkuu aliyetoa namba yake hapo utakuwa poa tu usiwe na hofu mwaya.
 
Pole sana SUZANE, tatizo lako siyo kubwa kama unavyodhani! Fuata maelezo aliyokupa daktari wako, utapona.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana suzane, usiwe na hofu utapona mama kijacho, nami pia niliwahi kupatwa na hilo tatizo miaka 10 iliyopita, nikafuata maelekezo ya daktari ikiwamo kula miwa na halijanipata tena.
 
Fanya alichokushauri dr wako. Kunywa sana hayo madafu mpaka uone unakojoa mkojo mweupe tatizo litakwisha tuu
 
Pole sana kwa yanayokusibu. Dawa yake ni kunywa juisi ya miwa. Jitahidi kupitia sehemu zinazotengeneza juisi upate iliyokuwa concentrated yaani juisi moto na option ya kuweka tangawizi na au limau. Utaipata pale mtaa wa Libya opposite na Oil Com. Pili, jitahidi kupata juisi ya beetroot glasi moja asubuhi kabla ya kunywa chai. Unaweza kuchanganya na karoti kukupa ladha na virutubisho. ila utumie mara chache kama siku tatu kwa wiki usizidishe.
 
Dada pole sana! Nakupa dawa bureee!!,.Nenda kachukue majani ya mti wa ukwaju kiasi cha kujaa jagi la lita moja osha vizuri kisha chemsha upate glasi 3 acha ipoe alafu unywe yote,nakuhakikishia mtoto atakuwa salama na utakuja kunya manjano tupu baada ya hapo uni PM nikwambie cha kufanya ili tatizo lisije tena na utoe mrejesho hapahapa hadharani.sitaki hata sh.10 yako.usipoelewa ni pm nikuelekeze zaidi.
 
Tafuta majan ya mapera yenye manjano,majan ya mgomba ya manjano ,majan ya mkartus machanga na miziz ya migomba uchemshe unywe na uoge na pia unywe kwa wing juice ya miwa inshaallah mwenyez mungu atakusaidia utapona
 
Manjano na mdarasini eheee siku nitafika siku nitafika nitakula wali ehee wali na sombee na lupilipili ma na luchumvi inakolea kosingo --RIP-Abeti masikini
 
Salaam natanguliza!!

jamani nimegundulika kuwa nina homa ya manjano pale Regency, Dr wng aliniambia hakuna dawa ya kunipa.


Mbaya zaidi nina mimba ya wk 19 sasa!!

Napata hofu tangu jana nilipopokea haya majibu!! sijui nifanyenini, japo nimeshauriwa kula miwa na maji ya madafu kwa wingi.

Najua madaktari wa JF mtanisaidia kama mlivyofanya mwanzo.

MziziMkavu uko wapi??
Pole kw akupatwa na Homa ya manjano aka (YEllow Fever) Chukua punje 1 ya kitunguu Saumu kibichi tia ndani ya chai au maji ya Uvuguvugu kunywa kila siku asubuhi na kila baada ya masaa 4 uwe unakula hicho kitunguu Saumu punje 1 tumia kwa siku 14 utapona hiyo Maradhi yako ya Homa ya manjano. Dawa ingine Tumia Chukuwa Ubani Miti aka mfano kama (Gundi) nunuwa gramu 50 tia dawa ndani ya maji lita 2 kwenye sufuria ya kupikia funika vizuri chemsha kwa dakika 20 kisha chuja hayo maji yaweke kwenye chupa utakuwa unachukuwa hayo maji glasi 1 unatia ndani yake Asali vijiko 2 vikubwa koroga vizuri unywe asubuhi kabla ya kula kitu na usiku kila siku utapona.Tumia siku 21 Huo Ubani Miti aka (Gundi)
unapatatikana katika maduka ya dawa za Kisuna kama upo mjini kariakoo kaulize utapata.Ikiisha dawa tengeneza dawa ingine tena.

Garlic-To-Reduce-Yellow-Fever.jpg


UBANI MITI GUNDI.jpg

Ubani miti aka (Gundi) Kiingereza inaitwa gum Arabic
 
Mtoa mada umechanganya madesi au ndo C&P???? Hapo umeongelea homa ya ini (hepatitis) ambayo hu present na jaundice au unjano kwa macho. Homa ya manjano (yellow fever) ni kitu ingine aisee.
NOTE: Be very careful, hizi ni taaluma za watu waache wenye taaluma wafanye yao
 
Hilo suala Lazima upime ujue maana severe malaria mtu atapata hadi jaundice na magonjwa mengine labda mtoa maada afunguke vizuri
 
Back
Top Bottom