Faida ya maji ya madafu yakichanganywa na ndimu au limao

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
625
938
0001-16642735838_20210209_122841_0000.png


Siku za hivi karibuni watu wamekuwa wakitumia maji ya madafu na kuchanganya na ndimu au limao, huku wengine wakijiuliza ikiwa mchanganyiko huo hauna madhara yoyote kiafya.

Tafiti zinaeleza kuwa maji ya madafu yana faida kede kede mwilini, lakini lamao linaweza kuongeza ladha na lina vitamin C kwa wingi, na tafiti hizo kuongezea kuwa hakuna madhara yoyote ya kiafya katika mchanganyiko huo.

Faida za maji ya madafu yaliyochanganywa na ndimu au limao ni kama zifuatazo:-

Huchochea mmeng'enyo wa chakula.

Husaidia kinga dhidi ya saratani.

Husaidia kupunguza hatari dhidi ya Kiharusi.

Kurekebisha Sukari katika mwili.

Inasaidia urekebishaji wa Ngozi na kupona Makovu.

Husaidia kuua bacteria wa aina mbalimbali wakiwamo wale wanaosababisha maambukizi kwenye njia ya mkojo yaani UTI.

Husaidia pia kupunguza maumivu wakati wa kupata haja ndogo (mkojo).

Husaidia kupunguza tatizo la msukumo mkubwa wa damu mwilini. Wataalamu wa lishe wanashauri maji hayo yanywewe asubuhi kabla ya kutumia chakula au kinywaji chochote.

Kwa watu wanene, huwasaidia kupunguza uzito na kuwaongezea hamu ya kula kutokana na uasilia wake.

Pia, Watu wanaocheza michezo mbalimbali, huwasaidia kuwaondolea uchovu na kuwaongezea nguvu wawapo uwanjani.

Yanazuia Upungufu wa Maji
Mwilini.

Yanaimarisha ubongo na misuli

Maji ya madafu pia yanasaidia kuzuia
muonekano wa kizee
(anti-aging ): Matumizi ya mara kwa
mara ya maji ya madafu
yatakufanya uonekane kijana
hata kama umri wako umeenda.
 
Siku za hivi karibuni watu wamekuwa wakitumia maji ya madafu na kuchanganya na ndimu au limao, huku wengine wakijiuliza ikiwa mchanganyiko huo hauna madhara yoyote kiafya.

Tafiti zinaeleza kuwa maji ya madafu yana faida kede kede mwilini, lakini lamao linaweza kuongeza ladha na lina vitamin C kwa wingi, na tafiti hizo kuongezea kuwa hakuna madhara yoyote ya kiafya katika mchanganyiko huo.

Faida za maji ya madafu yaliyochanganywa na ndimu au limao ni kama zifuatazo:-

Huchochea mmeng'enyo wa chakula.

Husaidia kinga dhidi ya saratani.

Husaidia kupunguza hatari dhidi ya Kiharusi.

Kurekebisha Sukari katika mwili.

Inasaidia urekebishaji wa Ngozi na kupona Makovu.

Husaidia kuua bacteria wa aina mbalimbali wakiwamo wale wanaosababisha maambukizi kwenye njia ya mkojo yaani UTI.

Husaidia pia kupunguza maumivu wakati wa kupata haja ndogo (mkojo).

Husaidia kupunguza tatizo la msukumo mkubwa wa damu mwilini. Wataalamu wa lishe wanashauri maji hayo yanywewe asubuhi kabla ya kutumia chakula au kinywaji chochote.

Kwa watu wanene, huwasaidia kupunguza uzito na kuwaongezea hamu ya kula kutokana na uasilia wake.

Pia, Watu wanaocheza michezo mbalimbali, huwasaidia kuwaondolea uchovu na kuwaongezea nguvu wawapo uwanjani.

Yanazuia Upungufu wa Maji
Mwilini.

Yanaimarisha ubongo na misuli

Maji ya madafu pia yanasaidia kuzuia
muonekano wa kizee
(anti-aging ): Matumizi ya mara kwa
mara ya maji ya madafu
yatakufanya uonekane kijana
hata kama umri wako umeenda.
Nipe chanzo cha taarifa na evidence
 
Hivi hakuna utaalamu wa kukusanya haya maji ya madafu na kuyafunga kwenye vifungashio vizuri ili yaweze kuuzwa hata kule ambako ni adimu kukuta mnazi umeota...
Huko Indonesia, Thailand na nchi za Far East wanafunga maji ya madafu na pia tui la nazi kwenye makopo na wanasafirisha mpaka Ulaya na Marekani.
 
VIPI KUHUSU ZILE NGUVU ZETU PENDWA? MAANA UKISEMA ZINATIBU SIPATI PICHA WATU WA PWANI WATAKAVYOMALIZA MITI YA MINAZI :cool::cool:
Munapenda kuwaonea sana watu wa pwani,
Ukweli hilo eneo hakuna mjanja wala halina mwenyewe sote tunahusika hapo ila kuna watu wanajifanya hawapendi kumbe ndio kiboko,
Chezea papu wewe kuna maeneo wanauana huko bara
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom