Faida ya Maamuzi ya CCM yanayokandamiza Wananchi kwa Upinzani.

STEIN

JF-Expert Member
Aug 29, 2010
1,770
553
Wana JF nimeona nifanye analysis ya maamuzi ya kisanii yanayofanywa na CCM pamoja na JK wake.

1. Ni faida kwa CDM, kama CCM watakomaa na kuwang'ang'ania mafisadi wake kwani kila wakilipuliwa jukwaana lazima tuwapate wananchama wengi huko tunakoenda kwani kuanzia juzi hadi leo hii CDM imeshajikusanyia wanachama na wafuasi wengi kutoka CCM na wananchi wengi wa Kawaida.
Mfano:
a. Bungeni======= Wabunge watano waliosain kura ya kutokuwa na imani naye, Tutakuwa na wabunge hao na
wapiga kura wao.
b. NEC ya CCM=== Wajumbe Kama wawili hadi sasa wanaiunga mkono CDM, James Milya na
Makongoro Nyerere (Freemedia ya Jana ilimhoji kuwa kama si CDM mafisadi ndani ya CCM
wasingemchagua) Makongoro Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara.
c. Madiwani:==== Mpaka sasa CDM ina madiwani wasiopungua kumi kutoka CCM katkia maeneo ya Arusha,
Sengerema, Geita, Monduli etc na wanazidi kujiunga na CDM kila kukicha.
d. Wanachama wa kawaida ndiyo usisema, karibu kila Mkutano CDM inagawa kadi kwa wananchama wapya kati ya
1000 na 2000


2. Ni faida kwa wananchi na CDM kama CCM ingewaondoa mawaziri wale maana hadi ngazi ya Chini wangeogopa kufuja mali za wananchi kwa sababu wanajua watawajibishwa na wakubwa zao hasa mawaziri na makatibu wakuu.

3. Sasa kutokana na JK mwenyewe kukataa na kudai wizi woote uliofanywa na mawaziri na viongozi walioko chini yao kama kule TBS, MSD, etc hii ina maana JK MWENYE ANAJUA KILA KINACHOENDELEA NA WIZI HUU NA KAUBARIKI KWAHIYO ANAONA ITAKUWA KAMA ILE WIZI WA RICHMOND, NA HAPA TUSIMTAFUTE MCHAWI, MCHAWI WETI RAIS WETU JK.
 
Back
Top Bottom