habari wadau.
maana ya kuwa na asset na mali nyingi ni nini?
kama hata ukiumwa hazikusaidii chochote unabebesha mzigo wengine..
tujadili hili kazi ya asset ni nini?
je tunatafuta mali za kazi gani?
sio roho mbaya au nzuri.. tujenge hoja kwa akili
maana ya kuwa na asset na mali nyingi ni nini?
kama hata ukiumwa hazikusaidii chochote unabebesha mzigo wengine..
tujadili hili kazi ya asset ni nini?
je tunatafuta mali za kazi gani?
sio roho mbaya au nzuri.. tujenge hoja kwa akili