Faida ya Kuota ndoto za Kitisha usiku

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,570
15,319
Mtu ambaye akilala haoiti kabisa utafiti unaonyesha huwa anauwezo mdogo IQ tofauti na mtu anayeota usiku.

Lkn Faida ya Kuota ndoto za ajabu usiku ni kuwa kama ulikuwa na stress, wasiwasi, na mambo hasi mengi kichwani ni mfumo wa Kiasili wa kuziondoa hizo kwa njia ya Ndoto.

Unapoota unakimbizwa na simba, unaanza kuhisi ndevu zake na udenda umeanza kukugusa kwenye shati na mbio hazizidi, ghafla unadumbukia kwenye shimo kubwa refu lisilo na mwisho huku simba huyo anakuja kwa juu.

Unaposhtuka '' unapata ahueni kubwa''. Huu ni mpango mkakati wa kukusaidia kuachana na mambo ya stress ambayo badala yake unayatoa kwa nia za ndoto.

Acha kwenda kwa waganga kwa sababu ya ndoto Mbaya. Mshukuru Mungu kwa kuota ndoto mbaya
 
Nachoamini mpaka sasa ni kuwa ukiwa mtu mzima huoti ovyo ovyo. Siwezi kumbuka mara ya mwisho ni lini niliota. Pia ndoto ni zao la kuchoka sana. Kama mchana unafanya activities zinazotumia sana akili ama nguvu kiasi cha kukuchosha sana basi kuota hutokea mara nyingi.
Ndevu na udenda umeanza kukugusa
Aisee nmeota ndoto za kutisha nyingi lakini sio kwa kipimo hicho
 
Dah! Ni usiku wa leo tu nimeota Tz tumevamiwa na waasi wasiojulikana na wamefanya mateso makubwa kwa raia wa Tz hasa watoto!

Alafu tukapambana nao na Jeshi letu likawa limeshafika likasaidia.

Nilikuwa naitafakari sana.
Mtu ambaye akilala haoiti kabisa utafiti unaonyesha huwa anauwezo mdogo IQ tofauti na mtu anayeota usiku.

Lkn Faida ya Kuota ndoto za ajabu usiku ni kuwa kama ulikuwa na stress, wasiwasi, na mambo hasi mengi kichwani ni mfumo wa Kiasili wa kuziondoa hizo kwa njia ya Ndoto.

Unapoota unakimbizwa na simba, unaanza kuhisi ndevu zake na udenda umeanza kukugusa kwenye shati na mbio hazizidi, ghafla unadumbukia kwenye shimo kubwa refu lisilo na mwisho huku simba huyo anakuja kwa juu.

Unaposhtuka '' unapata ahueni kubwa''. Huu ni mpango mkakati wa kukusaidia kuachana na mambo ya stress ambayo badala yake unayatoa kwa nia za ndoto.

Acha kwenda kwa waganga kwa sababu ya ndoto Mbaya. Mshukuru Mungu kwa kuota ndoto mbaya
 
Mbona wanasema mtu usipoota ni tatizo
Nachoamini mpaka sasa ni kuwa ukiwa mtu mzima huoti ovyo ovyo. Siwezi kumbuka mara ya mwisho ni lini niliota. Pia ndoto ni zao la kuchoka sana. Kama mchana unafanya activities zinazotumia sana akili ama nguvu kiasi cha kukuchosha sana basi kuota hutokea mara nyingi.
 
Dah! Ni usiku wa leo tu nimeota Tz tumevamiwa na waasi wasiojulikana na wamefanya mateso makubwa kwa raia wa Tz hasa watoto!

Alafu tukapambana nao na Jeshi letu likawa limeshafika likasaidia.

Nilikuwa naitafakari sana.
ukiona hivyo umekaribia kuachana na siasa uchwara kama rostam
 
Back
Top Bottom