Faida ya kula Korosho kwa Afya yako

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,295
33,079
KOROSHO.jpg


7 health benefits of raw organic cashews:


1. Cancer Prevention cashews can reduce your colon cancer risk. (Zinakinga Maradhi ya Saratani Haswa kwenye matumbo mapana)

2. Heart Health (Korosho zinasaidia Afya ya moyo kufanya kazi vizuri).


3. Hair and Skin Health (Korosho zinasaidia Kuzifanya nywele na ngozi ya mwili kuwa na Afya nzuri).

4. Bone Health (Korosho zinasaidia mifupa yako kuwa imara na afya nzuri)

5. Good for the Nerves (Korosho ni nzuri kula kwa ajili ya mishipa ya mwilini mwako).

6. Prevent Gallstones (Korosho zinakukinga usipatwe na mawe kwenye nyongo yako).


7. Weight Loss (Korosho ukila zinapunguza uzito mwilini)
 
MziziMkavu mji huu unauza kila aina ya korosho, kuna zile ambazo unakuta akina mama wanakupimia kwa kutumia vifuniko hizi mara ygi zinakaangwa na akina mama wenyewe majumbani zingine ndio hizo zimeshikwa mikononi na machinga. Sasa tule zpi kwa afya zetu??
 
MziziMkavu mji huu unauza kila aina ya korosho, kuna zile ambazo unakuta akina mama wanakupimia kwa kutumia vifuniko hizi mara ygi zinakaangwa na akina mama wenyewe majumbani zingine ndio hizo zimeshikwa mikononi na machinga. Sasa tule zpi kwa afya zetu??

Tofautisha korosho na karanga
 
MziziMkavu mji huu unauza kila aina ya korosho, kuna zile ambazo unakuta akina mama wanakupimia kwa kutumia vifuniko hizi mara ygi zinakaangwa na akina mama wenyewe majumbani zingine ndio hizo zimeshikwa mikononi na machinga. Sasa tule zpi kwa afya zetu??
Korosho nzuri ni zile unazo zitengeneza wewe nyumbani kwako nunuwa kisha uzitengeneze wewe mwenyewe.
 
1526142_247552025410942_1244230097_n.jpg


7 health benefits of raw organic cashews:


1. Cancer Prevention cashews can reduce your colon cancer risk.
2. Heart Health
3. Hair and Skin Health
4. Bone Health
5. Good for the Nerves
6. Prevent Gallstones
7. Weight Loss

Thank you for the wonderful class
 
Asante MziziMkavu ! Je, nifanye nini ili nipende kula korosho zaidi kuliko karanga mbichi ?
Na hata asali imenishinda!
 
Last edited by a moderator:
[/B][/I][/COLOR]

How, una jua zina calories ngapi..?

Swadakta. Hiyo ya weight loss mmmh! Ila wanasema kama lengo lako ni kupunguza kula kula zinasaidia sana maana muda mwingi hautajisikia njaa au tamaa ya kula, lakini korosho kama korosho hazisaidii kwenye weight loss.
 
cashew-nut.jpg

Korosho ni moja ya nafaka muhimu sana katika mwili wa binadamu ijapokuwa hutumika kwa nadra sana kutokana na upatikanaji wake na gharama zake, Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa Mtwara na Lindi ambapo katika msimu wa Korosho kilo moja ya Korosho hupatikana kwa gharama ya Shilingi Elfu thelathini kwa pesa ya kitanzania.

Kisayansi inashauriwa kutumia korosho kiasi, nafaka hii ina virutubisho muhimu na adimu, ambapo tafiti zilizofanyika zimebainisha kuwa mtu anayetumia korosho hufaidika kwa kuongeza vitu vifuatavyo mwilini.

Ina miliki calories 155, ni vyakula vivyohitajika mwilini ili kutengeneza nguvu na kuupa mwili virutubisho vyote vinavyotakiwa katika kujenga mwili, Ina miliki gram 9.2 za kabohaidreti, Gram 5.2 za Protini na Vitamini E, B6 pamoja na Gram 9.5 za vitamini K, Gram 10 za madimu ya ”Calcium” mbali na madini hayo ina umiliki mkubwa wa madini ya Zinki, Magneziam, Potasiam, kopa, na Asidi ya Folik.

Hivyo katika mwili wa binadamu korosho husaidia mambo yafuatayo

  1. Inasaidia kunyonya mafuta katika mwili wa binadamu hivyo huulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo na kuusaidia moyo kuwa wenye afya njema.
  2. Huepesha ugonjwa wa Anemia na magonjwa mengine ya damu, kula korosho mara kwa mara husaidia mwili kuwa na madini ya chuma ambapo ugonjwa wa Anemia hutokana na upungufu wa madini ya chuma hivyo ulaji wa Korosho hukinga mwili na magonjwa ya damu ikiwemo Anemia.
  3. Korosho husaidia uwezo wa macho kuona kama ilivyo kwa karoti, kutokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira macho yapo katika hatari kubwa ya kudhurika, korosho ina miliki kirutubisho kisayansi kinajulikana kama Zea Xanthin ambacho huilinda Retina ya jicho dhidi ya miale na uchafu ambao unaweza kudhuru jicho.
  4. Nzuri kwa kutunza ngozi, kutokana na mafuta yanayotokana na Korosho yenye virutubisho na madini rafiki kwa kung’arisha ngozi madini hayo ni kama Zinki, Magnesium, Fosforas na chuma lakini pia uwepo wa madini ya selenium ambayo hulinda ngozi dhidi ya magonjwa ya kansa.
  5. Lakini pia kwa wale wenye uhitaji wa kupunguza uzito, kisayansi inashauriwa kutumia kiasi nafaka ya korosho ili kupunguza uzito wa mwili, korosho inamiliki aina tatu za asidi ambazo husaidia mfumo unaoratibu mwili kuvunja vunja mafuta ya ziada.
  6. Pia mtu anayekula korosho ana wakati mzuri wa kufanya nyweli zake ziwe na afya nzuri hii ni kutokana na mafuta yanayotokana na korosho.
Kwa hisani ya Dar24
 
Tunazipenda ,Ila Tatizo pesa. tunahangaika siku nzima kutafuta ugali tu. Ayo mengine yanatushinda.
 
Tumezoea matangazo kama hayo mwishoni kunakuwa na "Kwa anaehitaji tuwasiliane kupitia namba 06..........758'...
 
Nimeona cashew butter huku niliko lakini home sijaona kabisa
Hivi inaweza kupikiwa kwenye chakula kama ntwili ya karanga na tukaita ntwili ya korosho?
 
Mkuu Kama haiongezi ufanisi wa yale mambo basi hii bidhaa kibongobongo hai'make sense
 
Ahsant

Korosho ni moja ya nafaka muhimu sana katika mwili wa binadamu ijapokuwa hutumika kwa nadra sana kutokana na upatikanaji wake na gharama zake, Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa Mtwara na Lindi ambapo katika msimu wa Korosho kilo moja ya Korosho hupatikana kwa gharama ya Shilingi Elfu thelathini kwa pesa ya kitanzania.

Kisayansi inashauriwa kutumia korosho kiasi, nafaka hii ina virutubisho muhimu na adimu, ambapo tafiti zilizofanyika zimebainisha kuwa mtu anayetumia korosho hufaidika kwa kuongeza vitu vifuatavyo mwilini.

Ina miliki calories 155, ni vyakula vivyohitajika mwilini ili kutengeneza nguvu na kuupa mwili virutubisho vyote vinavyotakiwa katika kujenga mwili, Ina miliki gram 9.2 za kabohaidreti, Gram 5.2 za Protini na Vitamini E, B6 pamoja na Gram 9.5 za vitamini K, Gram 10 za madimu ya ”Calcium” mbali na madini hayo ina umiliki mkubwa wa madini ya Zinki, Magneziam, Potasiam, kopa, na Asidi ya Folik.

Hivyo katika mwili wa binadamu korosho husaidia mambo yafuatayo

  1. Inasaidia kunyonya mafuta katika mwili wa binadamu hivyo huulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo na kuusaidia moyo kuwa wenye afya njema.
  2. Huepesha ugonjwa wa Anemia na magonjwa mengine ya damu, kula korosho mara kwa mara husaidia mwili kuwa na madini ya chuma ambapo ugonjwa wa Anemia hutokana na upungufu wa madini ya chuma hivyo ulaji wa Korosho hukinga mwili na magonjwa ya damu ikiwemo Anemia.
  3. Korosho husaidia uwezo wa macho kuona kama ilivyo kwa karoti, kutokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira macho yapo katika hatari kubwa ya kudhurika, korosho ina miliki kirutubisho kisayansi kinajulikana kama Zea Xanthin ambacho huilinda Retina ya jicho dhidi ya miale na uchafu ambao unaweza kudhuru jicho.
  4. Nzuri kwa kutunza ngozi, kutokana na mafuta yanayotokana na Korosho yenye virutubisho na madini rafiki kwa kung’arisha ngozi madini hayo ni kama Zinki, Magnesium, Fosforas na chuma lakini pia uwepo wa madini ya selenium ambayo hulinda ngozi dhidi ya magonjwa ya kansa.
  5. Lakini pia kwa wale wenye uhitaji wa kupunguza uzito, kisayansi inashauriwa kutumia kiasi nafaka ya korosho ili kupunguza uzito wa mwili, korosho inamiliki aina tatu za asidi ambazo husaidia mfumo unaoratibu mwili kuvunja vunja mafuta ya ziada.
  6. Pia mtu anayekula korosho ana wakati mzuri wa kufanya nyweli zake ziwe na afya nzuri hii ni kutokana na mafuta yanayotokana na korosho.
Kwa hisani ya Dar24
Ahsante sana kwa kuuleta huu Uzi hapa ulijuaje mkuu.
 
Back
Top Bottom