Ni somo zuri lakini kwa wasiojua kusoma wakiamua kutumia PICHA hizi wameumia, maana yake vitu vingine watakuwa hawajawahi hata kuviona. Hivi ulikosa picha za hivyo ulivyoviandika (picha kubwa inayoonekana vizuri)????? yaani vitu kama tangawizi, chungwa, karoti,papai, na mengineyo.