Mkuu una busara sana nimekuchek since morning kwenye Uzi wangu flani kati ya wote wewe ulitoa comment nzuri ambayo ushauri wako nimeufanyia kazi na kuna manufaa kwangu nikifanya ulivyonishauri
Mungu akusamehe. Yaani wewe USSR kuomyesha namna wadogo zetu mashuleni tena sekondari wanavyoteseka kwa kukosa hata madawati ni upuuzi? Ama kweli wana macho lakini hawaoni. Wana masikio lakini hawasikii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.