lyasi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 362
- 383
Bro kuendelea kufanya kazi kwa mtu ikiwa haibani Mambo yako ni suala la maamuzi tu ila amini uwezo wa kupata pesa hiyo inawezekana kabisa, maana ninae mdogo wangu ana YouTube channel yake last month kalipwa 23m and I used to saw his contents has a rubish but now he prove me wrong.Millard Ayo angekua tajiri mkubwa sana na wala asingekua anafanya kazi kwa Kusaga