Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,990
mkuu..... umekata tamaa sana.... ukiamini inawezekana.... am not rich myself ila nakamua nusu bln a year.... inawezekana... inawezekana... jiinue mkuu..... wengi wanatengeneza hiyo pesa na wako normal.... Ukibisha ubarikiwe.... Akina Masanja analima mpunga (anafundisha ujasiliamali youtube) anakamuaover 300ml a year... akijumlisha na nyinginezo yuko around 500ml.. na hesabu za mpunga zinafanyika easy.... kuna maparachichi Mbeya huko watu wanakamua Bln kama vichaa (kuna mdogo wana helkopta za $2ml zimepaki nje kwao).. Mungu akaufanya moyo wa farao kuwa mgumu.... asiufanye moyo wako kuwa mgumu..Amen
Upeo wako ndo unakufanya uamini kila kitu!!...ukija kuwa na upeo mkubwa utakuja kuamini kuwa some billions ya manene ya kuambiwa ni tofauti na reality!!!