Faida wanazopata AyoTV,Dizzim TV online,DAUDA TV na youtube channels za wasanii kama Diamond platnumz na wengine.

mkuu..... umekata tamaa sana.... ukiamini inawezekana.... am not rich myself ila nakamua nusu bln a year.... inawezekana... inawezekana... jiinue mkuu..... wengi wanatengeneza hiyo pesa na wako normal.... Ukibisha ubarikiwe.... Akina Masanja analima mpunga (anafundisha ujasiliamali youtube) anakamuaover 300ml a year... akijumlisha na nyinginezo yuko around 500ml.. na hesabu za mpunga zinafanyika easy.... kuna maparachichi Mbeya huko watu wanakamua Bln kama vichaa (kuna mdogo wana helkopta za $2ml zimepaki nje kwao).. Mungu akaufanya moyo wa farao kuwa mgumu.... asiufanye moyo wako kuwa mgumu..Amen
Upeo wako ndo unakufanya uamini kila kitu!!...ukija kuwa na upeo mkubwa utakuja kuamini kuwa some billions ya manene ya kuambiwa ni tofauti na reality!!!
 
wako madogo wa3 wana IT company... wanapiga 4bln a year... wameajiri vijana kama 20 .... kuna dogo wa jamaa yangu anazalisha napkins na other paper products... some blnz...you free kukaza shingo na kuona haiwezikani... ila ukiamua ujifunze how can u do that unaweza kuwa kwenye list ya watengeneza bln... kwa watz wengi unachokishindwa wewe mwingine yeyote hawezi... Yuko dogo anapiga billions za kufuga kuku hapo Dar mtaji alipewa na UN small business development..... I wish niwe na upeo wako ili brain ipumzike kuwaza
Upeo wako ndo unakufanya uamini kila kitu!!...ukija kuwa na upeo mkubwa utakuja kuamini kuwa some billions ya manene ya kuambiwa ni tofauti na reality!!!
 
I INSIST, by 2011 tayari watu tulikuwa tumeshaanza kucheza na haya mambo!! Na hata hiyo role as Advertizer nilianza kuicheza wakati huo baada ya kuona JF nimepigwa ban, nikalazimika kutafuta alternatiive!!

STAY BLESSED!!!
Sasa kwanini hukuleta data hapa unapiga piga kelele, weka evidence isiyo na shaka hata kama umeambulia dola 10 tu hatutakucheka mkuu🤣🤣

Hata mbinu zako zilikuwa amateur level kwenye hizi shughuli kwa kutumia nguvu nyingi kushare humu, Ma pro wengi wanashare since hio miaka wanashare video zao katika facebook groups and pages ambako uhakika wa kulaza views elf 50+ upo ukikaza mkono ama ukiseti roboti la ku spam fresh, Humu jf utaambulia views buku tu, Smarten up!!!!!

Hapa kumbuka makadirio yangu yamebase principle ya PRUDENCE, kukadiria mapato kwa kujikita zaidi na kiwango averagely minimum ambacho mtu akitegemee akianza hizi shughuli, ndio maana nikasisitiza ni dola 60 ambayo youtubers wengi wa kibongo hupata hii au zaidi kwa uhakika

kuna video nikakuwekea kuna watu wanapokea hadi dola 300 kwa views milioni , naona kila nachoandika humu ume reply ila ile video hujareply, kama kiingereza hakipandi ntakufanyia mpango niweke subtitle za kiswahili.

Kuna uwezekano hapa hapa bongo wa kupiga hadta dola 2.5 kwa views elfu moja ila hii rate sijai pendekeza kwa sababu kila moja akianza hizi shughuli atalalamika kwamba niliwadanganya na hapo watu wengine washakopa mikopo, Kwa taaluma yangu ya ya kuwa muhasibu C.P.A.(T) nikaona ni heri ku apply prudence kwenye estimation ya mapato ya youtube ili hata mtu akianisha channel yake ategemee hio dola 70 kwa uhakika zaidi na endapo atapata zaidi basi ni baraka

Alafu sijajua unalalamika hio dola 600 kwa youtube ni chache au nyingi, By the way kwa siku hizi vijana wadogo kabisa wakimaliza diploma zao za IT shule imeisha, Anatengeneza blog yake yenye adsense then anashare sauzi, katika page views 1000 kwa clicks 200 cpc ya dola 0.3 hio ni dola 60 salama salmini,page views 5,000 clicks 1,000 kwa cpc dola 0.3........Hii ni dola 300 kwa siku. Uzuri wangu mimi ukienda jukwaa la tech nina nyuzi kama sita hivi spoon feeding methods kabisa jinsi ya kupiga dolaz, And yes you guessed it right, Pesa za mzungu tamu sana,
 
Upeo wako ndo unakufanya uamini kila kitu!!...ukija kuwa na upeo mkubwa utakuja kuamini kuwa some billions ya manene ya kuambiwa ni tofauti na reality!!!
Ulimaanisha dharau ila kwa kawaida yangu nina upendo sana na nabarikiwa sana.. nina miliki malori mabovu yanasumbua.. napiga almost 500 kwa mwaka ila running cost iko juu sana.. nabaki maskini... Bado sijakata tamaa ntarekebisha..
Yuko binti ntakupa namba na jina anakamua over 900ml kampuni ya usafi.
Natamani tuwe na thread ya kuinuana na kunyanyuana kimawazo.. usife kiakili boss.. Najua wengi mmesoma na mna ajira nzuri ina limit uwezo wa kuwaza na kufanya makubwa...
Nakupenda na napenda kila mtu anayewaza maendeleo makubwa
sky is the limit.. na kama mungu wako ndio mmilki wa utajiri kwanini wwe uwe maskini? Inua spirit yako boss..
Mtafute motivational speaker Charles Kinuthia (kenya origin.. anaishi Texas kwa sasa) alifanya kazi kwangu 8yrs a go... sasa hivi anaweza kuniajiri.. yuko mbali mbaya na anatembea dunia nzima..
Watz wengi wanadharau kama yako.. ipige teke ili uone neema zilizopo duniani kabla hujafa
Love you all
 
Ayo anatengeneza 2bn kwa mwaka?ni noma
from youtube alone
millard Ayo anapiga kati ya $63.9K to $1M a year .....over 2billlll a yeee
Diamond kati ya $58.1 to $929.9K a year
Global TV $39.1K to $626K a year
wasafi tv $28.2K to $451.5K

Plus matangazo ranging from laki 5 to 200ml a year
matangazo madogodogo ya laki 1 per instagram post etc

Iko media ndogo moja anapata 5ml a month kwa matangazo madogomadogo

(Sorry to expose ila data ziko online) bado lengo ni kuhamasisha wengine wajue tusiandamane kudai ajira serikalini..
Kwa kutumia simu yako tu unaweza kuwa a milli a milli a milli a millionaire

I will delete soon nikilalamikiwa kuheshimu haki za owners
 
Abdalah Majura
Ile haisi naijua, si nyeusi! ila kama hayo mafanikio ni zao la youtube kwa hizo hesabu tunazopewa, nakataa, Labda uniambie ni zao la claus.
Kwani akiondoka clauds na kuwekeza nguvu kwa hiyo hesabu ataporomoka?
Mbona majizo aliacha ajira magic fm na akaanzisha efm na ikasimama! pia kuna yule jamaa jina limentoka alitoka bbc akaja kuanzisha radio zake dodoma na dar.
 
Ingia you tube, watakupa terms and condition kuna form utajaza, pia uende tcra ukasajili channel yako, malipo utajua kwenye form ya you tube huko, hebu fanya uende
Wengi ni wavivu kusoma terms and conditions ndio maana inaleta huu ukakasi.
 
Kumbukumbuyatorati !!

Mahesabu uliyopigiwa juu yote hayo ni porojo tu! Sio kwamba huwezi kutengeneza 1B (TZS) kupitia Youtube, inawezekana sana lakini sio rahisi kiasi hicho!

Na wala mapato hayatokani na idadi ya views, kwa maana X Views = US$ Y, HELL NO, ingawaje pia ni kweli kadri unavyokuwa na Views wengi zaidi uwezekano wa kupiga zaidi unaongezeka!!

Aidha, YouTuber X wa Tanzania anaweza kuwa na Views 5M wakati YouTuber Y wa Japan akawa na Views 3 M na Viewers wa Japan wakawa wamengalia matangazo yale yale yaliyoangaliwa na Viewers wa Tanzania kwa urefu ule ule wa muda lakini at the end, usishangae YouTuber wa Japan akawa ameingiza mapata hata mara 3 ya YouTuber wa Tanzania!

Hapo juu inatokana na game of chance!

Kwamba, kama ni tangazo la iPhone X, basi kuna uwezekano wa kila 100 Views za Japan zikafanikisha ununuzi wa iPhone X hata 5 wakati zile Views 100 za Tanzania zikaishia kuangalia mapicha picha tu!

Kutokana na hapo juu, Advertizers wanaweka viwango tofauti vya thamani ya tangazo, na geographical position, ina-matter sana kwenye kufanya maamuzi!

Tuje kwenye swali la msingi! Unapata vipi mapato!

Njia ya kwanza ndo hiyo ya matangazo maarufu kama Google Adsense! Hapa kazi yako kubwa ni kuwa ni kutengeneza contents ambazo unaamini zitavutia watazamaji, and that's it!

Kwavile utakuwa na Adsense code, ina maana Viewer akifungua tu video yako, atakutana na tangazo... lile ambalo baadae unaambiwa SKIP!!

Utakachopata kutokana na tangazo husika itategemea Viewer aliendelea ku-entertain hilo tangazo kwa muda gani! Na itoshe tu kusema kwamba, kuna formula tofauti tofauti hutumika hapa!

Aidha, usishahau suala la kila region kuwa na thamani yake kwa tangazo lile lile!

Njia ya pili ya mapato ni local contracts! Ukishakuwa na YouTube Channel ambayo inatembelewa sana, basi una uwezekano mkubwa wa kupata matangazo ya ndani (sio Adsense)

Hapo juu ni kama unavyoona mfano wa wimbo wa Diamond wa Utanipenda ambao video yake inatanguliwa na tangazo la Dr. Mwaka!

Matangazo ya aina hiyo hapo juu ni maarufu sana kwa mtu kama Millard Ayo!!

ALL IN ALL, kazi ngumu ya YouTube Channel ni content! Suala la content ukilichukulia poa, utaishia kuwa mtu wa copy and paste!!

Ujinga wa copy and paste ni kwamba, idadi ya views lazima iwe ndogo kwa sababu video moja inakuwa iko posted kwa channels zaidi ya 10!

Isitoshe, kadri watu wanavyoona umuhimu wa Adsense, ndivyo wanavyozi kufanya protection kwenye videos zao!!

Ndo hapo unakuta umepakia video saa 2, lakini ukija saa 7, Google wameiondoa kwa sababu kuna mtu ka-report copyright violation!
Ulichoongea kina make sense Hamna hela rahisi
 
Kumbukumbuyatorati !!

Mahesabu uliyopigiwa juu yote hayo ni porojo tu! Sio kwamba huwezi kutengeneza 1B (TZS) kupitia Youtube, inawezekana sana lakini sio rahisi kiasi hicho!

Na wala mapato hayatokani na idadi ya views, kwa maana X Views = US$ Y, HELL NO, ingawaje pia ni kweli kadri unavyokuwa na Views wengi zaidi uwezekano wa kupiga zaidi unaongezeka!!

Aidha, YouTuber X wa Tanzania anaweza kuwa na Views 5M wakati YouTuber Y wa Japan akawa na Views 3 M na Viewers wa Japan wakawa wamengalia matangazo yale yale yaliyoangaliwa na Viewers wa Tanzania kwa urefu ule ule wa muda lakini at the end, usishangae YouTuber wa Japan akawa ameingiza mapata hata mara 3 ya YouTuber wa Tanzania!

Hapo juu inatokana na game of chance!

Kwamba, kama ni tangazo la iPhone X, basi kuna uwezekano wa kila 100 Views za Japan zikafanikisha ununuzi wa iPhone X hata 5 wakati zile Views 100 za Tanzania zikaishia kuangalia mapicha picha tu!

Kutokana na hapo juu, Advertizers wanaweka viwango tofauti vya thamani ya tangazo, na geographical position, ina-matter sana kwenye kufanya maamuzi!

Tuje kwenye swali la msingi! Unapata vipi mapato!

Njia ya kwanza ndo hiyo ya matangazo maarufu kama Google Adsense! Hapa kazi yako kubwa ni kuwa ni kutengeneza contents ambazo unaamini zitavutia watazamaji, and that's it!

Kwavile utakuwa na Adsense code, ina maana Viewer akifungua tu video yako, atakutana na tangazo... lile ambalo baadae unaambiwa SKIP!!

Utakachopata kutokana na tangazo husika itategemea Viewer aliendelea ku-entertain hilo tangazo kwa muda gani! Na itoshe tu kusema kwamba, kuna formula tofauti tofauti hutumika hapa!

Aidha, usishahau suala la kila region kuwa na thamani yake kwa tangazo lile lile!

Njia ya pili ya mapato ni local contracts! Ukishakuwa na YouTube Channel ambayo inatembelewa sana, basi una uwezekano mkubwa wa kupata matangazo ya ndani (sio Adsense)

Hapo juu ni kama unavyoona mfano wa wimbo wa Diamond wa Utanipenda ambao video yake inatanguliwa na tangazo la Dr. Mwaka!

Matangazo ya aina hiyo hapo juu ni maarufu sana kwa mtu kama Millard Ayo!!

ALL IN ALL, kazi ngumu ya YouTube Channel ni content! Suala la content ukilichukulia poa, utaishia kuwa mtu wa copy and paste!!

Ujinga wa copy and paste ni kwamba, idadi ya views lazima iwe ndogo kwa sababu video moja inakuwa iko posted kwa channels zaidi ya 10!

Isitoshe, kadri watu wanavyoona umuhimu wa Adsense, ndivyo wanavyozi kufanya protection kwenye videos zao!!

Ndo hapo unakuta umepakia video saa 2, lakini ukija saa 7, Google wameiondoa kwa sababu kuna mtu ka-report copyright violation!
Umeeleza vyema sana.
 
Dude you know what you are talking,wengi wanajua video kuwa views wengi ndio hela,ishu ni kuangalia tangazo bila kuskip.Thanks for info
 
Sasa kwanini hukuleta data hapa unapiga piga kelele, weka evidence isiyo na shaka hata kama umeambulia dola 10 tu hatutakucheka mkuu🤣🤣

Hata mbinu zako zilikuwa amateur level kwenye hizi shughuli kwa kutumia nguvu nyingi kushare humu, Ma pro wengi wanashare since hio miaka wanashare video zao katika facebook groups and pages ambako uhakika wa kulaza views elf 50+ upo ukikaza mkono ama ukiseti roboti la ku spam fresh, Humu jf utaambulia views buku tu, Smarten up!!!!!

Hapa kumbuka makadirio yangu yamebase principle ya PRUDENCE, kukadiria mapato kwa kujikita zaidi na kiwango averagely minimum ambacho mtu akitegemee akianza hizi shughuli, ndio maana nikasisitiza ni dola 60 ambayo youtubers wengi wa kibongo hupata hii au zaidi kwa uhakika

kuna video nikakuwekea kuna watu wanapokea hadi dola 300 kwa views milioni , naona kila nachoandika humu ume reply ila ile video hujareply, kama kiingereza hakipandi ntakufanyia mpango niweke subtitle za kiswahili.

Kuna uwezekano hapa hapa bongo wa kupiga hadta dola 2.5 kwa views elfu moja ila hii rate sijai pendekeza kwa sababu kila moja akianza hizi shughuli atalalamika kwamba niliwadanganya na hapo watu wengine washakopa mikopo, Kwa taaluma yangu ya ya kuwa muhasibu C.P.A.(T) nikaona ni heri ku apply prudence kwenye estimation ya mapato ya youtube ili hata mtu akianisha channel yake ategemee hio dola 70 kwa uhakika zaidi na endapo atapata zaidi basi ni baraka

Alafu sijajua unalalamika hio dola 600 kwa youtube ni chache au nyingi, By the way kwa siku hizi vijana wadogo kabisa wakimaliza diploma zao za IT shule imeisha, Anatengeneza blog yake yenye adsense then anashare sauzi, katika page views 1000 kwa clicks 200 cpc ya dola 0.3 hio ni dola 60 salama salmini,page views 5,000 clicks 1,000 kwa cpc dola 0.3........Hii ni dola 300 kwa siku. Uzuri wangu mimi ukienda jukwaa la tech nina nyuzi kama sita hivi spoon feeding methods kabisa jinsi ya kupiga dolaz, And yes you guessed it right, Pesa za mzungu tamu sana,
Ngoja nikupuuze, manake hujui lolote!!!
 
Sasa kwanini hukuleta data hapa unapiga piga kelele, weka evidence isiyo na shaka hata kama umeambulia dola 10 tu hatutakucheka mkuu🤣🤣

Hata mbinu zako zilikuwa amateur level kwenye hizi shughuli kwa kutumia nguvu nyingi kushare humu, Ma pro wengi wanashare since hio miaka wanashare video zao katika facebook groups and pages ambako uhakika wa kulaza views elf 50+ upo ukikaza mkono ama ukiseti roboti la ku spam fresh, Humu jf utaambulia views buku tu, Smarten up!!!!!

Hapa kumbuka makadirio yangu yamebase principle ya PRUDENCE, kukadiria mapato kwa kujikita zaidi na kiwango averagely minimum ambacho mtu akitegemee akianza hizi shughuli, ndio maana nikasisitiza ni dola 60 ambayo youtubers wengi wa kibongo hupata hii au zaidi kwa uhakika

kuna video nikakuwekea kuna watu wanapokea hadi dola 300 kwa views milioni , naona kila nachoandika humu ume reply ila ile video hujareply, kama kiingereza hakipandi ntakufanyia mpango niweke subtitle za kiswahili.

Kuna uwezekano hapa hapa bongo wa kupiga hadta dola 2.5 kwa views elfu moja ila hii rate sijai pendekeza kwa sababu kila moja akianza hizi shughuli atalalamika kwamba niliwadanganya na hapo watu wengine washakopa mikopo, Kwa taaluma yangu ya ya kuwa muhasibu C.P.A.(T) nikaona ni heri ku apply prudence kwenye estimation ya mapato ya youtube ili hata mtu akianisha channel yake ategemee hio dola 70 kwa uhakika zaidi na endapo atapata zaidi basi ni baraka

Alafu sijajua unalalamika hio dola 600 kwa youtube ni chache au nyingi, By the way kwa siku hizi vijana wadogo kabisa wakimaliza diploma zao za IT shule imeisha, Anatengeneza blog yake yenye adsense then anashare sauzi, katika page views 1000 kwa clicks 200 cpc ya dola 0.3 hio ni dola 60 salama salmini,page views 5,000 clicks 1,000 kwa cpc dola 0.3........Hii ni dola 300 kwa siku. Uzuri wangu mimi ukienda jukwaa la tech nina nyuzi kama sita hivi spoon feeding methods kabisa jinsi ya kupiga dolaz, And yes you guessed it right, Pesa za mzungu tamu sana,
Yaani unaropoka tu kwamba nilikuwa na-share humu bila kujua nilikuwa na-share nini??!

Badala ya kuropoka na kuongea usiyoyajua, ulitakiwa kwanza kuuliza!!! Huo usanii wa ku-share link for Adsense ambao kimsingi ni illegal unafanyika sasa na sio miaka niliyokutajia mimi!!!

In short, HUJUI LOLOTE, na mwenyewe umeshathibitisha kwa kusema :-
Najuana na Youtubers wengi hapa bongo, na nimewah kuona live mapato yao kwa hio sijaropoka, nimefanya tahmini haya mambo.

Kwa masaa 24 yaliyopita millard kaweka videos 40 na hii bidii ndio matunda yake, inamfanya apate takribani viewers milioni 20 kila mwezi, kwa hizi views kaka yetu anavuta milioni 30 na zaidi, huyu ana watazamaji ]]wa ziada wanaoishi ulaya na marekani wanao busti mapato yake
Kubishana na mtu wa aina yako, ni kupoteza muda manake hata unachobishania chenyewe huna uzoefu nacho, na reference yako ni kwa vitu vya kusikia!!!
 
Wote mko sawa lakini Millard ayo atafungua radio yake inawezekana mda wake bado, pia wengine anapata pesa mahali nyingi tu bado Anakaa pale pale Labda kaweka mda wake pale au mkataba wake bado Kama tu harmonize asante
Mkataba ni kitu cha kawaida endapo ujira wako ni wa kulipwa kwa kwezi unatoa notice ya siku 30 kazi inaisha, au labda kama aliambiwa na clouds tunakujengea hii ayo TV kwa kiasi fulani itabidi ukirudishe hiki kiasi kwa namna fulani..kitu ambacho hakijafanyika maana yeye mwenyewe alishawahi kusikiwa akisema ametupia pesa zake kusave na kujenga studio ile...
 
point, millard anaingiza mkwanja mrefu sana kupitia youtube yake na site coz nna jamaa zangu ambao wanachannel zao ambazo zinasubscriber chini ya laki mbili na huwa wanaweka video za kawaida naviewers hata laki hazifiki lakin kwa mwezi 1M tzs wanapata.
Duuh! Mbona kama kuna hela huko?
Vipi na wewe hauna channel Youtube? Maana kama Rafiki zako wanaingiza hela hiyo, nadhani huwezi ukaachia chance hiyo na wewe.
 
Yaani unaropoka tu kwamba nilikuwa na-share humu bila kujua nilikuwa na-share nini??!

Badala ya kuropoka na kuongea usiyoyajua, ulitakiwa kwanza kuuliza!!! Huo usanii wa ku-share link for Adsense ambao kimsingi ni illegal unafanyika sasa na sio miaka niliyokutajia mimi!!!

In short, HUJUI LOLOTE, na mwenyewe umeshathibitisha kwa kusema :- Kubishana na mtu wa aina yako, ni kupoteza muda manake hata unachobishania chenyewe huna uzoefu nacho, na reference yako ni kwa vitu vya kusikia!!!


Mwana unalichonga ngenga tu hapa, unaleta za kibandidu hapa utaishia kuzogoleka hadi utambwela.

Fanya iwe mukide leta statis za channel yako na malipo, acha mboyoyo za kikuda, kama kuna jenerali kuna kuruta, kama kuna wanaopiga $ 2500 kwa 1 M views kuna wanaopiga $ 600 na hata $300..ni vyema kumuhakikishia anaeingia jeshibukuruta ashaupata kuliko kumpa ndoto za ujenerali

zima fegi, vua chupi, kaa pembeni.

Peace
 
Back
Top Bottom