Faida wanazopata AyoTV,Dizzim TV online,DAUDA TV na youtube channels za wasanii kama Diamond platnumz na wengine.

Aiseee Wakuu nimekuwa interested Sana na njia hii ya kujiajiri,so huwa naingia Sana YouTube kucheki lakini sijui ni wapi pa kupata hio form msaada please.
 
c

Mkuu hesabu zilizopigwa ulikuwa ni kwa hapa tz na sio huko japan, kibongo bongo wastani ni dola 60 kwa views laki, hapo unaweza kuzidi

Copyright content ni kazi sana kupata kama unajali kazi yako, tukio mfano la Diamond kinaweza kutoka utachofanya ni kulielezea tu huku slide show ya picha za Instagram za Diamond zikiwa zinaendelea.

Views ukitegemea YouTube pekee kibongo bongo ni kazi, watu wana share sana kwenye groups za Facebook hadi video zinakuepo kwenye trending.

Ni kazi mtindo moja
Hesabu zipi ulizopiga ambazo unasema ni kwa Tanzania?! Binafsi sijaziona zaidi ya kusema mtu akipata views 5M, basi anaweza kuingiza kama TZS 7M!

Ukimchulia Themagufulianz kwa mfano! Yeye anatumia data za Socialblabe!

Ukimchukulia mtu kama Millard Ayo wanakuambia makisio ya mapato ya kwake kwa mwaka ni kati ya Dola 64,000 hadi dola 1M!!

Sasa ni makisio gani ambayo yanaweza kutoa margin error kubwa kiasi hicho?!

Mchukulie YouTuber kama alivyo Dude Perfect! Mwaka jana ilitangazwa aliingiza about 20M (USD) lakini estimation za Socialblade zinaonesha yearly earnings ni kati 818K to 13M (USD)!

Ukimtoa PewDiePie, list ambayo ilitoa na Forbes karibu wote walikuwa above na estimation za Socialblade! Yaani pamoja na estimation zao kuweka gap kubwa mno, lakini bado uhalisia unakuwa nje ya hilo gap!!
 
Pesa ya mtu anayebet inaeleweka, ina uhalisia na inaonekana.
Vivyo hiyo kwa mfanya biashara. Yaani pesa lazima ikubadilishe tu.
Ila tukipewa hesabu za pesa zinazopigwa youtube ni kama hazina uhalisia hivi, haiwezekani mtu upige bilioni kwa mwaka then ubakie kwenye ajira.
Si umeshakuwa na jina! hata ukianzisha kitu chako watu watakufata tu.
Hawajui maana ya bilioni hawa wanalinganisha na vitumbua!!
 
Pesa ya mtu anayebet inaeleweka, ina uhalisia na inaonekana.
Vivyo hiyo kwa mfanya biashara. Yaani pesa lazima ikubadilishe tu.
Ila tukipewa hesabu za pesa zinazopigwa youtube ni kama hazina uhalisia hivi, haiwezekani mtu upige bilioni kwa mwaka then ubakie kwenye ajira.
Si umeshakuwa na jina! hata ukianzisha kitu chako watu watakufata tu.

millard alishahojiwa na akasema moyo wake upo clouds: yule jamaa anapenda kazi yake( in other words ni passion yake) , sasa mtu anaefanya kazi kwa passion hua ni vigumu kumwangalia kwa jicho kma unalomwangalia wewe, alishawahi kufanya kazi zanzibar miaka 2 halipwi ata kumi , usiangalie kwa jicho unaloliona wewe, people are different
 
Kumbukumbuyatorati !!

Mahesabu uliyopigiwa juu yote hayo ni porojo tu! Sio kwamba huwezi kutengeneza 1B (TZS) kupitia Youtube, inawezekana sana lakini sio rahisi kiasi hicho!

Na wala mapato hayatokani na idadi ya views, kwa maana X Views = US$ Y, HELL NO, ingawaje pia ni kweli kadri unavyokuwa na Views wengi zaidi uwezekano wa kupiga zaidi unaongezeka!!

Aidha, YouTuber X wa Tanzania anaweza kuwa na Views 5M wakati YouTuber Y wa Japan akawa na Views 3 M na Viewers wa Japan wakawa wamengalia matangazo yale yale yaliyoangaliwa na Viewers wa Tanzania kwa urefu ule ule wa muda lakini at the end, usishangae YouTuber wa Japan akawa ameingiza mapata hata mara 3 ya YouTuber wa Tanzania!

Hapo juu inatokana na game of chance!

Kwamba, kama ni tangazo la iPhone X, basi kuna uwezekano wa kila 100 Views za Japan zikafanikisha ununuzi wa iPhone X hata 5 wakati zile Views 100 za Tanzania zikaishia kuangalia mapicha picha tu!

Kutokana na hapo juu, Advertizers wanaweka viwango tofauti vya thamani ya tangazo, na geographical position, ina-matter sana kwenye kufanya maamuzi!

Tuje kwenye swali la msingi! Unapata vipi mapato!

Njia ya kwanza ndo hiyo ya matangazo maarufu kama Google Adsense! Hapa kazi yako kubwa ni kuwa ni kutengeneza contents ambazo unaamini zitavutia watazamaji, and that's it!

Kwavile utakuwa na Adsense code, ina maana Viewer akifungua tu video yako, atakutana na tangazo... lile ambalo baadae unaambiwa SKIP!!

Utakachopata kutokana na tangazo husika itategemea Viewer aliendelea ku-entertain hilo tangazo kwa muda gani! Na itoshe tu kusema kwamba, kuna formula tofauti tofauti hutumika hapa!

Aidha, usishahau suala la kila region kuwa na thamani yake kwa tangazo lile lile!

Njia ya pili ya mapato ni local contracts! Ukishakuwa na YouTube Channel ambayo inatembelewa sana, basi una uwezekano mkubwa wa kupata matangazo ya ndani (sio Adsense)

Hapo juu ni kama unavyoona mfano wa wimbo wa Diamond wa Utanipenda ambao video yake inatanguliwa na tangazo la Dr. Mwaka!

Matangazo ya aina hiyo hapo juu ni maarufu sana kwa mtu kama Millard Ayo!!

ALL IN ALL, kazi ngumu ya YouTube Channel ni content! Suala la content ukilichukulia poa, utaishia kuwa mtu wa copy and paste!!

Ujinga wa copy and paste ni kwamba, idadi ya views lazima iwe ndogo kwa sababu video moja inakuwa iko posted kwa channels zaidi ya 10!

Isitoshe, kadri watu wanavyoona umuhimu wa Adsense, ndivyo wanavyozi kufanya protection kwenye videos zao!!

Ndo hapo unakuta umepakia video saa 2, lakini ukija saa 7, Google wameiondoa kwa sababu kuna mtu ka-report copyright violation!

mkuu umesema kwel kabisa: lakini pia ata kwa bongo unaweza ukapata more than mtu aliepata japan, ni game of chances: kama leo umepata tangazo lenye ela ndefu mtu akakclick na kule japana mtu akaskip, unakua mbele kwa pointi nyingi sana
 
Redio zinafutwa na social media mkuu... mambo ya redio na mitambo na watumishi 200 yanapotea kabisa.... social media has taken over... yuko vizuri alipo making more money with less cost.... Hajikufungua redio yake never.... smartest kid in bongo
jamaa nilimsikia kwenye interview mojainaitwa Sporah Show akisema ameshanunua vifaa vya radio, lakin hajafungua bado kwa kuwa bado anahisi ana deni na clouds sababu walimtoa mbali
ila ulichosema ni kweli kufungua redio kipindi hiki ni gharama sana halafu pia usikilizaji umepungua sana, social media ndio future ya habari
jamaa ana wafuasi kama milioni 10 kwenye mitandao yake ya kijamii, sidhani kama anahitaji radio au tv
 
jamaa nilimsikia kwenye interview mojainaitwa Sporah Show akisema ameshanunua vifaa vya radio, lakin hajafungua bado kwa kuwa bado anahisi ana deni na clouds sababu walimtoa mbali
ila ulichosema ni kweli kufungua redio kipindi hiki ni gharama sana halafu pia usikilizaji umepungua sana, social media ndio future ya habari
jamaa ana wafuasi kama milioni 10 kwenye mitandao yake ya kijamii, sidhani kama anahitaji radio au tv

ni kweli social media zmekua sana ila bado hazijaweza kua tishio kwenye media kama tv na redio haswa uku Africa: wengi sana bado wanatumia redio haswa vijijini, ukiangalia kwa tz mfano, vijiji ni vingi sana kuliko miji, bado hazijawa tishio kwa izi local radios
 
Hesabu zipi ulizopiga ambazo unasema ni kwa Tanzania?! Binafsi sijaziona zaidi ya kusema mtu akipata views 5M, basi anaweza kuingiza kama TZS 7M!

Ukimchulia Themagufulianz kwa mfano! Yeye anatumia data za Socialblabe!

Ukimchukulia mtu kama Millard Ayo wanakuambia makisio ya mapato ya kwake kwa mwaka ni kati ya Dola 64,000 hadi dola 1M!!

Sasa ni makisio gani ambayo yanaweza kutoa margin error kubwa kiasi hicho?!

Mchukulie YouTuber kama alivyo Dude Perfect! Mwaka jana ilitangazwa aliingiza about 20M (USD) lakini estimation za Socialblade zinaonesha yearly earnings ni kati 818K to 13M (USD)!

Ukimtoa PewDiePie, list ambayo ilitoa na Forbes karibu wote walikuwa above na estimation za Socialblade! Yaani pamoja na estimation zao kuweka gap kubwa mno, lakini bado uhalisia unakuwa nje ya hilo gap!!
MUHIMU:YOUTUBE WANAKWAPUA 45 % WANAMWACHIA MTANGAZAJI 55%, UKIPATA HIO DOLA 55 UJUE YOUTUBE WAMECHKUA DOLA 45.

Naendelea kugongelea msumari, hapa tunazungumzia mapato kibongo bongo, hao kina pewdie pie na dude perfect wana viewers nyingi nchi za tier one na two ambako wenye tangazo wapo tayari kutoa hata dola elf 5 endapo tangazo litawafikia viewwers wa nchi hizo na wapo tayari kutoa hata cost per click ya dola 5 endapo mtu wa nchi hizo ata click tangazo.

Kwa hapa bongo kwa content za kibongo huwezei kufananisha na kina pewdie pie kwasababu makampuni ya huko marekani mfano mabenki yasiyo na mayawi hapa bongo huwa wanabana matangazo yao yasionekane bongo, kitachotokea ndio haya matangazo tunayoyaona ya makampuni ya tanzania ambayo na wahindi ambao wapo tayari kulipa dola 40 hadi 80 kwa views elf moja na cost per click ya dola 0.02(shilingi 40) endapo mtu ataclick tangazo.

Unachanganya mambo hapa, youtube na wenye tangazo ni tofauti, hela anayopokea mwenye channel ya youtube inaamuliwa na dau alilotoa amaehitaji bidhaa yake itangazwe, Youtube anawakutanisha hawa watu na kuseti mitambo matangazo yaonekane.

Huwezi kulipwa dola elf 5 kwa views milioni kama mtangazaji kaamua kutoa dola 70, hii ndio inapelekea watu wa hapa tz waanze kutengeneza video zitazopata watazamaji wa marekani na ulaya ili wapate mpunga mrefu.

Najuana na Youtubers wengi hapa bongo, na nimewah kuona live mapato yao kwa hio sijaropoka, nimefanya tahmini haya mambo.

Kwa masaa 24 yaliyopita millard kaweka videos 40 na hii bidii ndio matunda yake, inamfanya apate takribani viewers milioni 20 kila mwezi, kwa hizi views kaka yetu anavuta milioni 30 na zaidi, huyu ana watazamaji ]]wa ziada wanaoishi ulaya na marekani wanao busti mapato yake
 
Naendelea kugongelea msumari, hapa tunazungumzia mapato kibongo bongo, hao kina pewdie pie na dude perfect wana viewers nyingi nchi za tier one na two ambako watangazaji wapo tayari kutoa hata dola elf 5 endapo tangazo litawafikia viewwers wa nchi hizo na wapo tayari kutoa hata cost per click ya dola 5 endapo mtu wa nchi hizo ata click tangazo.

Kwa hapa bongo kwa content za kibongo huwezei kufananisha na kina pewdie pie kwasababu makampuni ya huko marekani mfano mabenki yasiyo na mayawi hapa bongo huwa wanabana matangazo yao yasionekane bongo, kitachotokea ndio haya matangazo tunayoyaona ya makampuni ya tanzania ambayo na wahindi ambao wapo tayari kulipa dola 40 hadi 80 kwa views elf moja na cost per click ya dola 0.02(shilingi 40) endapo mtu ataclick tangazo.

Unachanganya mambo hapa, youtube na watangazaji ni tofauti, hela anayopokea mwenye channel ya youtube inaamuliwa na dau alilotoa amaehitaji bidhaa yake itangazwe, Youtube anawakutanisha hawa watu na kuseti mitambo matangazo yaonekane.

Huwezi kulipwa dola elf 5 kwa views milioni kama mtangazaji kaamua kutoa dola 70, hii ndio inapelekea watu wa hapa tz waanze kutengeneza video zitazopata watazamaji wa marekani na ulaya ili wapate mpunga mrefu.

Najuana na Youtubers wengi hapa bongo, na nimewah kuona live mapato yao kwa hio sijaropoka, nimefanya tahmini haya mambo.

atleast umeongea on point
 
millard alishahojiwa na akasema moyo wake upo clouds: yule jamaa anapenda kazi yake( in other words ni passion yake) , sasa mtu anaefanya kazi kwa passion hua ni vigumu kumwangalia kwa jicho kma unalomwangalia wewe, alishawahi kufanya kazi zanzibar miaka 2 halipwi ata kumi , usiangalie kwa jicho unaloliona wewe, people are different
Yaani nimemwajiri mtu dukani kwangu (mawingu) wakati huo huo nimemchukua kutoka duka la jirani (kwa Mengi) na amekuja kwangu kwa ajili ya kusaka maslahi na sio jina coz kama jina alilipata kwa mzee Mengi.
Kapata maslahi then kaanzisha biashara inayofanana na yangu na ni maarufu sana.
Halafu eti aendelee kufanya kazi kwangu kwa vile eti analipenda sana duka langu na ndio limdmwinua!
Kama hiyo hesabu ina ukweli, basi kuna siri kuhusu umiliki.
 
Redio zinafutwa na social media mkuu... mambo ya redio na mitambo na watumishi 200 yanapotea kabisa.... social media has taken over... yuko vizuri alipo making more money with less cost.... Hajikufungua redio yake never.... smartest kid in bongo
jamaa nilimsikia kwenye interview mojainaitwa Sporah Show akisema ameshanunua vifaa vya radio, lakin hajafungua bado kwa kuwa bado anahisi ana deni na clouds sababu walimtoa mbali
ila ulichosema ni kweli kufungua redio kipindi hiki ni gharama sana halafu pia usikilizaji umepungua sana, social media ndio future ya habari
jamaa ana wafuasi kama milioni 10 kwenye mitandao yake ya kijamii, sidhani kama anahitaji radio au tv
 
Yaani nimemwajiri mtu dukani kwangu (mawingu) wakati huo huo nimemchukua kutoka duka la jirani (kwa Mengi) na amekuja kwangu kwa ajili ya kusaka maslahi na sio jina coz kama jina alilipata kwa mzee Mengi.
Kapata maslahi then kaanzisha biashara inayofanana na yangu na ni maarufu sana.
Halafu eti aendelee kufanya kazi kwangu kwa vile eti analipenda sana duka langu na ndio limdmwinua!
Kama hiyo hesabu ina ukweli, basi kuna siri kuhusu umiliki.
mbna ni kawaida sana: kuna wasanii wana hela za kutosha na bado wako chini ya label mbna, tatizo we unataka mtu mawazo yake yafanane na yako: wakina kanye west yeye na mke wake wana mahela mpaka hawajui wapeleke wap ila bado yupo chini ya label, ally mafuruki na kua kote miongoni mwa matajiri wakubwa Tanzania ila bado yuko kwenye makampuni ya watu: we vp mkuu
 
Hesabu zipi ulizopiga ambazo unasema ni kwa Tanzania?! Binafsi sijaziona zaidi ya kusema mtu akipata views 5M, basi anaweza kuingiza kama TZS 7M!

Ukimchulia Themagufulianz kwa mfano! Yeye anatumia data za Socialblabe!

Ukimchukulia mtu kama Millard Ayo wanakuambia makisio ya mapato ya kwake kwa mwaka ni kati ya Dola 64,000 hadi dola 1M!!

Sasa ni makisio gani ambayo yanaweza kutoa margin error kubwa kiasi hicho?!

Mchukulie YouTuber kama alivyo Dude Perfect! Mwaka jana ilitangazwa aliingiza about 20M (USD) lakini estimation za Socialblade zinaonesha yearly earnings ni kati 818K to 13M (USD)!

Ukimtoa PewDiePie, list ambayo ilitoa na Forbes karibu wote walikuwa above na estimation za Socialblade! Yaani pamoja na estimation zao kuweka gap kubwa mno, lakini bado uhalisia unakuwa nje ya hilo gap!!
sasa kumbe social blade huwa ana underestimate basi.! Millard atakuwa anapiga zaid ya hiyo.hahaaa
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom