Faida utakazopata ukila mbegu za Maboga

Mhdiwani

JF-Expert Member
Feb 22, 2015
650
707
Zina madini aina ya zinc, kopa, magnesium, chuma , manganese, phosphorus
Husaidia uzalishaji wa Maziwa kwa mama anaenyonyesha
Husaidia kurekebisha sukari mwilini na kuwezesha kongosho kufanya kazi yake vizuri
Huimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume na wanawake kutokana na madini aina ya zinc omega3 na omega6
Huondoa sumu mbalimbali mwilini hasa kwenye figo na kibofu cha mkojo pia huondoa madhara ya pombe kiafya

Ni chakula bora kwa mama mjamzito
Husaidia kuondoa shinikizo la damu

Ni chanzo kizuri cha vitamin K, A ,B,E
Ni kinga dhidi ya kansa ya kizazi kwa wanaume na wanawake
Huboresha kumbukumbu, akili kwa watoto na watu wazima

Husaidia kutibu matatizo ya viungo
Husaidia kuondoa unene unaotokana na wingi Wa mafuta cholesterol mwilini

Ni kinga tiba dhidi ya moyo INI na figo

Husaidia kutibu matatizo ya macho kutokana na wingi Wa vitamin A

Huimarisha mishipa ya sehem za siri kwa wanaume na kufanya iwe na nguvu Mara dufu kutokana na madini aina ya zinc,, chuma na kopa

Kula mbegu za Maboga kwa faida kubwa mwilini
Asanteni
maboga-1-1024x682.jpg
 
Zina madini aina ya zinc, kopa, magnesium, chuma , manganese, phosphorus
Husaidia uzalishaji wa Maziwa kwa mama anaenyonyesha
Husaidia kurekebisha sukari mwilini na kuwezesha kongosho kufanya kazi yake vizuri
Huimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume na wanawake kutokana na madini aina ya zinc omega3 na omega6
Huondoa sumu mbalimbali mwilini hasa kwenye figo na kibofu cha mkojo pia huondoa madhara ya pombe kiafya

Ni chakula bora kwa mama mjamzito
Husaidia kuondoa shinikizo la damu

Ni chanzo kizuri cha vitamin K, A ,B,E
Ni kinga dhidi ya kansa ya kizazi kwa wanaume na wanawake
Huboresha kumbukumbu, akili kwa watoto na watu wazima

Husaidia kutibu matatizo ya viungo
Husaidia kuondoa unene unaotokana na wingi Wa mafuta cholesterol mwilini

Ni kinga tiba dhidi ya moyo INI na figo

Husaidia kutibu matatizo ya macho kutokana na wingi Wa vitamin A

Huimarisha mishipa ya sehem za siri kwa wanaume na kufanya iwe na nguvu Mara dufu kutokana na madini aina ya zinc,, chuma na kopa

Kula mbegu za Maboga kwa faida kubwa mwilini
AsanteniView attachment 762619
Zinaliwaje mkuu
Zinachemshwa
Zinakaangwa au zinapikwaje mkuu
 
Zina madini aina ya zinc, kopa, magnesium, chuma , manganese, phosphorus
Husaidia uzalishaji wa Maziwa kwa mama anaenyonyesha
Husaidia kurekebisha sukari mwilini na kuwezesha kongosho kufanya kazi yake vizuri
Huimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume na wanawake kutokana na madini aina ya zinc omega3 na omega6
Huondoa sumu mbalimbali mwilini hasa kwenye figo na kibofu cha mkojo pia huondoa madhara ya pombe kiafya

Ni chakula bora kwa mama mjamzito
Husaidia kuondoa shinikizo la damu

Ni chanzo kizuri cha vitamin K, A ,B,E
Ni kinga dhidi ya kansa ya kizazi kwa wanaume na wanawake
Huboresha kumbukumbu, akili kwa watoto na watu wazima

Husaidia kutibu matatizo ya viungo
Husaidia kuondoa unene unaotokana na wingi Wa mafuta cholesterol mwilini

Ni kinga tiba dhidi ya moyo INI na figo

Husaidia kutibu matatizo ya macho kutokana na wingi Wa vitamin A

Huimarisha mishipa ya sehem za siri kwa wanaume na kufanya iwe na nguvu Mara dufu kutokana na madini aina ya zinc,, chuma na kopa

Kula mbegu za Maboga kwa faida kubwa mwilini
AsanteniView attachment 762619
Sasa tule vingapi jamani? Kila siku vyaibuka vingine!
Nasikia hata mbegu za ndimu na limao mara baada ya kuzitoa ktk tunda lao pia zikimung'unywa kavu ni tiba.
 
Zina madini aina ya zinc, kopa, magnesium, chuma , manganese, phosphorus
Husaidia uzalishaji wa Maziwa kwa mama anaenyonyesha
Husaidia kurekebisha sukari mwilini na kuwezesha kongosho kufanya kazi yake vizuri
Huimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume na wanawake kutokana na madini aina ya zinc omega3 na omega6
Huondoa sumu mbalimbali mwilini hasa kwenye figo na kibofu cha mkojo pia huondoa madhara ya pombe kiafya

Ni chakula bora kwa mama mjamzito
Husaidia kuondoa shinikizo la damu

Ni chanzo kizuri cha vitamin K, A ,B,E
Ni kinga dhidi ya kansa ya kizazi kwa wanaume na wanawake
Huboresha kumbukumbu, akili kwa watoto na watu wazima

Husaidia kutibu matatizo ya viungo
Husaidia kuondoa unene unaotokana na wingi Wa mafuta cholesterol mwilini

Ni kinga tiba dhidi ya moyo INI na figo

Husaidia kutibu matatizo ya macho kutokana na wingi Wa vitamin A

Huimarisha mishipa ya sehem za siri kwa wanaume na kufanya iwe na nguvu Mara dufu kutokana na madini aina ya zinc,, chuma na kopa

Kula mbegu za Maboga kwa faida kubwa mwilini
AsanteniView attachment 762619
Natumia Unga wake.
 
Ukitaka kuwashika wabongo basi we wambie inongeza au kutibu nguvu za kiume, sio kwamba napinga sio dawa ila nishaonaga wakubwa wangu wakila ila nawapotezeaga japo najua ukweli...Hahaaaa
 
Ukitaka kuwashika wabongo basi we wambie inongeza au kutibu nguvu za kiume, sio kwamba napinga sio dawa ila nishaonaga wakubwa wangu wakila ila nawapotezeaga japo najua ukweli...Hahaaaa
Ni kweli. Nguvu za kiume zinaharibiwa na ulaji na hasa mavyakula ya sasa. Tule kama walivyokuwa wakila wazee wetu. Nguvu zitarudi. Viungo vya mboga isiwe mafuta, tumia unga wa karanga, mbegu za maboga, mbegu za bangi, mbegu za alizeti, nk. Na nafaka kama mahindi, ngano. nk zisikobolewe kama siyo lazima. Magimbi, mihogo, viazi, nk ni muhimu mno kwa afya.
 
Ni kweli zina madini mengi,ila kwa ushauri nenda Google ili uweze kujua ni kiasi gani unatakiwa utumie kwa siku kwani mwisho wa siku mtu utakula kikombe kizima kila siku matokeo yske zinakuletea madhara,mimi nilishawahi kuzitumia nilichogundua ni kuwa mzunguko wa damu ukawa juu,yaani mapigo ya moyo yakawa ya kasi kidogo,nikaingiwa na hofu nikaachana nazo...
 
Ni kweli. Nguvu za kiume zinaharibiwa na ulaji na hasa mavyakula ya sasa. Tule kama walivyokuwa wakila wazee wetu. Nguvu zitarudi. Viungo vya mboga isiwe mafuta, tumia unga wa karanga, mbegu za maboga, mbegu za bangi, mbegu za alizeti, nk. Na nafaka kama mahindi, ngano. nk zisikobolewe kama siyo lazima. Magimbi, mihogo, viazi, nk ni muhimu mno kwa afya.
Hiyo nyingine hapo mkuu.."mbegu za bange"
Duh...we jamaa unajiamini.!
 
Ni kweli. Nguvu za kiume zinaharibiwa na ulaji na hasa mavyakula ya sasa. Tule kama walivyokuwa wakila wazee wetu. Nguvu zitarudi. Viungo vya mboga isiwe mafuta, tumia unga wa karanga, mbegu za maboga, mbegu za bangi, mbegu za alizeti, nk. Na nafaka kama mahindi, ngano. nk zisikobolewe kama siyo lazima. Magimbi, mihogo, viazi, nk ni muhimu mno kwa afya.
Sasaa ndugu japo tunazivuta sana hizo ngada lakin kumconvice ndugu magufuli na kabinet Yake ionekane ni mmea usio na madhara kwa afya ya binadam na kwenye jicho la sheria ni story za Abunuwas, Bora niende Zimbabwe nikaish nchi ya pili Baran Afrika kuruhusu kilimo cha bangi baada ya lesotho .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom