Mhdiwani
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 650
- 707
Zina madini aina ya zinc, kopa, magnesium, chuma , manganese, phosphorus
Husaidia uzalishaji wa Maziwa kwa mama anaenyonyesha
Husaidia kurekebisha sukari mwilini na kuwezesha kongosho kufanya kazi yake vizuri
Huimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume na wanawake kutokana na madini aina ya zinc omega3 na omega6
Huondoa sumu mbalimbali mwilini hasa kwenye figo na kibofu cha mkojo pia huondoa madhara ya pombe kiafya
Ni chakula bora kwa mama mjamzito
Husaidia kuondoa shinikizo la damu
Ni chanzo kizuri cha vitamin K, A ,B,E
Ni kinga dhidi ya kansa ya kizazi kwa wanaume na wanawake
Huboresha kumbukumbu, akili kwa watoto na watu wazima
Husaidia kutibu matatizo ya viungo
Husaidia kuondoa unene unaotokana na wingi Wa mafuta cholesterol mwilini
Ni kinga tiba dhidi ya moyo INI na figo
Husaidia kutibu matatizo ya macho kutokana na wingi Wa vitamin A
Huimarisha mishipa ya sehem za siri kwa wanaume na kufanya iwe na nguvu Mara dufu kutokana na madini aina ya zinc,, chuma na kopa
Kula mbegu za Maboga kwa faida kubwa mwilini
Asanteni
Husaidia uzalishaji wa Maziwa kwa mama anaenyonyesha
Husaidia kurekebisha sukari mwilini na kuwezesha kongosho kufanya kazi yake vizuri
Huimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume na wanawake kutokana na madini aina ya zinc omega3 na omega6
Huondoa sumu mbalimbali mwilini hasa kwenye figo na kibofu cha mkojo pia huondoa madhara ya pombe kiafya
Ni chakula bora kwa mama mjamzito
Husaidia kuondoa shinikizo la damu
Ni chanzo kizuri cha vitamin K, A ,B,E
Ni kinga dhidi ya kansa ya kizazi kwa wanaume na wanawake
Huboresha kumbukumbu, akili kwa watoto na watu wazima
Husaidia kutibu matatizo ya viungo
Husaidia kuondoa unene unaotokana na wingi Wa mafuta cholesterol mwilini
Ni kinga tiba dhidi ya moyo INI na figo
Husaidia kutibu matatizo ya macho kutokana na wingi Wa vitamin A
Huimarisha mishipa ya sehem za siri kwa wanaume na kufanya iwe na nguvu Mara dufu kutokana na madini aina ya zinc,, chuma na kopa
Kula mbegu za Maboga kwa faida kubwa mwilini
Asanteni