lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,151
- 33,332
Kwa Mara nyingi kwa miaka mingi CCM wamekua wakipiga propaganda mfu juu ya VIONGOZi na wagombea wa CHADEMA kuwa ni wa kutoka Kaskazini.
Sasa faida kubwa aliyonayo Tundu Lissu na CHADEMA ni sehemu anayotoka na Uraia wake pia.
Lissu anatoka katika Mkoa ambao haulaumiwi, hauogopwi, hauchukiwi wala haupigwi vita kwa chochote kama mikoa ya kaskazini (ingawa chuki hizo ni ujinga na Ukaburu tu.)
Lissu anatoka Singida. Mkoa wa Singida upo katikati ya Tanzania. Tundu Lissu hana utata wa Uraia.
Kwa Mkoa anaotoka Lissu hakuna mtu anaweza kumchukia kwa sababu Watanzania hupenda kuongozwa na Rais atokaye katika makabila yenye idadi ndogo ya watu.
Kama Wazanaki, Wazaramu, Wakwere na Wamakonde.
Kwa kifupi Lissu anabebwa na uraia wake na Mkoa anaotoka.
Sasa faida kubwa aliyonayo Tundu Lissu na CHADEMA ni sehemu anayotoka na Uraia wake pia.
Lissu anatoka katika Mkoa ambao haulaumiwi, hauogopwi, hauchukiwi wala haupigwi vita kwa chochote kama mikoa ya kaskazini (ingawa chuki hizo ni ujinga na Ukaburu tu.)
Lissu anatoka Singida. Mkoa wa Singida upo katikati ya Tanzania. Tundu Lissu hana utata wa Uraia.
Kwa Mkoa anaotoka Lissu hakuna mtu anaweza kumchukia kwa sababu Watanzania hupenda kuongozwa na Rais atokaye katika makabila yenye idadi ndogo ya watu.
Kama Wazanaki, Wazaramu, Wakwere na Wamakonde.
Kwa kifupi Lissu anabebwa na uraia wake na Mkoa anaotoka.