Faida na soko la mende

Niliwahi na mimi kusikia hii.halafu alieileta alitaja mpaka na aina za mende takribani 30.mwenye hiyo link atupatie humu tuanze kupata uhondo huu wa biashara.
 
Mkuu tuone hao mende wanafugwa vipi na katika mazingira gani, ndani au nje, bandani au chumbani, kwenye chupa au box, wanapewaje msosi..

Otherwise: Esopo, naona kama hadithi za abunuasi
Wanafugwa kulingana na mazingira uliyopo bora uwapatie msosi wa kutosha,but sio wale wa chooni.
 
Back
Top Bottom