anzania MENDE amekuwa na soko kubwa sana maana MENDE mmoja anauzwa 500/=ambaye anatakiwa kuwa na gramm 5,ko kama utabahatika kuweza kuzalisha zaidi ya MENDE 1,000/ ndani ya wiki mbili unaweza pata pesa ndefu Sana kama 500/=×1,000/=(5,00,000/=)
Kivipi?Bila picha maelezo marefu hvo ni unyanyasaji
Soko lake lilikufaMayai ya kware yameishia wapi vile?
Ova
Ndo opportunitiesDuh hii dunia inaharibika kila section
Kuna siku milimuona Bill gates anakunywa mavi
Inbox meUnapatikana wapi mkuu nije nikuone? mawasiliano tafadhali
Kivipi?
Habari Benson.Kivipi?
Wanafugwa kulingana na mazingira uliyopo bora uwapatie msosi wa kutosha,but sio wale wa chooni.Mkuu tuone hao mende wanafugwa vipi na katika mazingira gani, ndani au nje, bandani au chumbani, kwenye chupa au box, wanapewaje msosi..
Otherwise: Esopo, naona kama hadithi za abunuasi
Worry outHabari Benson.
Naweza kupata mawasiliano yako ili unipe taarifa zaidi kuhusu ufugaji na soko la mende.