StaffordKibona
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 669
- 57
ana punguza hamu ambayo haikukamilishwa na partner alyekuwa naye usiku. Kama ni mkeo ongeza juhudi, hilo kopo la maji ya moto hutaliona tena
ana punguza hamu ambayo haikukamilishwa na partner alyekuwa naye usiku. Kama ni mkeo ongeza juhudi, hilo kopo la maji ya moto hutaliona tena
haya kashafika ulingoni mama ushauri...... Mwaga mboga mama tujue.jamani wanaume mbona mnajiju wenyewe hamsubiri wanawake au ndio kiu kimewashika mnatakakujua upesi upesi?
baridi mwili mzima au kunako?huwa tunasikia baridi ndo maana tunatumia maji ya moto
Sure,nami nimeshuhudia ata my House girl is doing the same,,,kulikoni??
<br />Hapa unaweza usipate majibu sahihi. Kwanini usiwaulize hao ''wanawake wengi'' uliowafanyia uchunguzi?
<br />hypothesis inasema wanaosha sehemu za siri...... but lets carry on with a research to verify if its true
<br />Former G-Friend wangu aliwahi kuniambia kuwa anatumia maji ya moto ku supress hamu ya mambo fulani. Hivyo kama haja do na anasikia hamu, anachukua maji ya mato na kumaliza haja. Ni staili fulani ya kujichua.
<br />Huwa tunasikia baridi ndo maana tunatumia maji ya moto
<br />Mimi nimeona baadhi ya wanaume wanaenda na hivi vikopo vya maji ya moto,sasa sijui mnavitumiaje?
<br /><font color="#ff0000">Akina mama wana joto la kutosha mwenye tatizo la baridi kali ni huyo huyo wa kwako only.</font>