Tamalisa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 2,542
- 902
Mwanamke akisoma na Papuchi inaelimika...
Ha ha ha ha ha da nimecheka kivyangu, kwa hiyo papuchi da
Mwanamke akisoma na Papuchi inaelimika...
sna mkuu..yani kama mwanamke ana roho nyepesi lazima awe chakulaIla mabosi wanatutafunia wake zetu dah!!!
we acha tu. yaani tunalizwa kweli, kumzuia huwezi coz safari ya kikazi, na bosi wake tena ndio hivyo, wanafikia hoteli au gesti moja, kweli usiku unakuwa mkubwaHapo bado hujaambiwa ana safari ya kizazi mkoani for two weeks..zen anaongozana na boss wake
yani ni tafran mkuu..kuna jamaa wife ake yupo serikalini..wamepewa trip ya kwenda china kikazi kwa siku 9(wanawake wawili na wanaume wawili)..wamefanya kazi kwa siku 4 wakamaliza..jmaa anakwembia wife amemwambia wamepitia dubai kupumzika kumalizia siku zilizobaki...kaka wa wtu hana amani..usiku unakuwa mrefu sanawe acha tu. yaani tunalizwa kweli, kumzuia huwezi coz safari ya kikazi, na bosi wake tena ndio hivyo, wanafikia hoteli au gesti moja, kweli usiku unakuwa mkubwa
Mwanamke akisoma na Papuchi inaelimika...
ha ha ha kumbe mnanyimwa unyumba polen .. degree mwisho getini huku ni jamii tu
Kiruuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hapo bado hujaambiwa ana safari ya kizazi mkoani for two weeks..zen anaongozana na boss wake
unaleta degree yako nyumbani ili iweje mwisho getini ukiingia ndani unakuwa a person with no education
muoe mwambie nakuoa wewe na si degree yako .. degree mwisho geteni ukiingia ndani we in jungle with free mindHaki ya mama, nimetamani kukuoa. Uyu bado sijamuoa ila dalili zote naziona kwakweliii mamaaaangu
muoe mwambie nakuoa wewe na si degree yako .. degree mwisho geteni ukiingia ndani we in jungle with free mind
inahitaji tolelance ya juu kuishi na hawa wasomi