Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Ewe mtumishi wa umma !
Tumia mshahara wako ukope to the maximum huko NMB au CRDB . Hakikisha unaplan project nzuri itakayokuingizia pesa , otherwise makato ya mshahara kwa mrefu husumbua akili sanaaa .
Ukikopa ukafanya anasa , jua kwamba utateseka miaka 4 mpk 7 mbele. Wengi wameumia sana.
Uwe mwangalifu
Tumia mshahara wako ukope to the maximum huko NMB au CRDB . Hakikisha unaplan project nzuri itakayokuingizia pesa , otherwise makato ya mshahara kwa mrefu husumbua akili sanaaa .
Ukikopa ukafanya anasa , jua kwamba utateseka miaka 4 mpk 7 mbele. Wengi wameumia sana.
Uwe mwangalifu