Msaada: Biashara ya Nyumba ya Wageni (Guest House) imekaaje?

Futota

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
521
87
ASL ALKM Ndugu wana JF,
Kufungua guest house process yake iko vipi? yaani vibali, kodi za serikali nk
Je kuna limit ya vyumba, yaani hata kama nyumba ina vyumba viwili self-contained
yaweza kuwa guest house?
Thank you in advance
 
ASL ALKM Ndugu wana JF,
Kufungua guest house process yake iko vipi? yaani vibali, kodi za serikali nk
Je kuna limit ya vyumba, yaani hata kama nyumba ina vyumba viwili self-contained
yaweza kuwa guest house?
Thank you in advance

Wandugu wapenzi, jamani hata mmoja majibu?
I am very serious kuhusu hili kwani tuna kajumba ketu, mpangaji
anatusumbua huyo kila mwaka ikifika muda wa kupokea kodi yetu,
sasa basi kuondokana na hili tunafikiria ni bora tukafanya iwe
guest house
 
kwa kifupi proses za kufungua gest si ngumu sana make unatakiwa uwe na leseni ya kuendesha hiyo gest kutoka manispaa. prosess zote zinaishiaga manspaa basi. Hamna ugumu wowote.
 
Mkuu, nyumba ya vyumba vitatu unataka kufanya guest? Iko mkoa gani hiyo nyumba? Sidhani kama vyumba vitatu vitakulipa mkuu, labda uipanue kidogo vifike atleast 10! Mambo ya short time yataitia najis tu nyumba yako, kama imechokachoka muondoe huyo mpangaji, itengeneze vizuri; ikibidi uifurnish kabisa kisha tafuta mpangaji wa maana. Nyumba ya vyumba vi3 ni heri mtu akupe laki4 kuliko kuifanya guest bubu.

Biashara ya guest inalipa kama unajenga Lodge nzuri sehemu nzuri na huduma nzuri!
 
kwa kifupi proses za kufungua gest si ngumu sana make unatakiwa uwe na leseni ya kuendesha hiyo gest kutoka manispaa. prosess zote zinaishiaga manspaa basi. Hamna ugumu wowote.

Asante mkuu,
Kumbe process ni rahisi, ni pale tu manispaa
Basi poa naona hii shughuli itaweza kufanyika
 
Mkuu, nyumba ya vyumba vitatu unataka kufanya guest? Iko mkoa gani hiyo nyumba? Sidhani kama vyumba vitatu vitakulipa mkuu, labda uipanue kidogo vifike atleast 10! Mambo ya short time yataitia najis tu nyumba yako, kama imechokachoka muondoe huyo mpangaji, itengeneze vizuri; ikibidi uifurnish kabisa kisha tafuta mpangaji wa maana. Nyumba ya vyumba vi3 ni heri mtu akupe laki4 kuliko kuifanya guest bubu.

Biashara ya guest inalipa kama unajenga Lodge nzuri sehemu nzuri na huduma nzuri!

Mkuu, nikipiga mahesabu ya haraka haraka, naona pato la guest house (3 self contained rooms) litazidi laki 4 kwa mwezi.
Halafu unaondoka na karaha ya kuomba pesa kwa ngumi kutoka kwa mpangaji LOL
Mpango ni ku refurbish vyumba vikawa vya standard ya hali ya juu,
na ka huduma ka breakfast, na visoda soda kila wakati.
Nadhani ukiweka mandhari mazuri basi itapata wateja "wa haki" na sio short timers
Hao hawatapewa nafasi kabisa LOL
Hiyo nyumba ipo pazuri karibu na barabara kuu, na kwa sasa
inapangishwa laki 4, lakini ndio hivyo zinatoka kwa binde LOL
 
ukifanikiwa kufungua hiyo guest house utaongeza na
ajira pia. maanake si uongo atahitajika mtu wa kufanya
usafi, receptionist, mlinzi nk.
 
wakuu hali zenu.
Nipo kwenye mchakato wa kumalizia ujenzi ambao ni nyumba ya kulala wageni. mimi ni muumini wa dini mzuri ambaye singependa hii business iishie kwenye dangulo.
Naomba mnishauri kama inawezekana ukawa na halali business ambayo watu hawataitumia kwa short times pia kuja kujivinjari. ningependa walalao wawili wawe married but singependa kuwalazimisha waje na vyeti vya ndoa. pliz help if it is feasible and how can it be done?

nangu mahwelu
 
wakuu hali zenu.
Nipo kwenye mchakato wa kumalizia ujenzi ambao ni nyumba ya kulala wageni. mimi ni muumini wa dini mzuri ambaye singependa hii business iishie kwenye dangulo.
Naomba mnishauri kama inawezekana ukawa na halali business ambayo watu hawataitumia kwa short times pia kuja kujivinjari. ningependa walalao wawili wawe married but singependa kuwalazimisha waje na vyeti vya ndoa. pliz help if it is feasible and how can it be done?

nangu mahwelu

hahahah! Ilishawah kunikuta dhahama hiyo mm, kama sio kujulikana na wafanyakaz wa lodge ningelala stend ya mabasi..

hii ni baada ya guest niliyozoea kulala siku hiyo nafka naambiwa kama mtu hujaoa au kuolewa hupati chumba mwenye guest house kaokoka hataki uzinzi...

Mbaya zaid siku hiyo basi lilichelewa kufika boda na mdada niliyemzoea sana hapo guest alikuwa yupo off siku hiyo, ikabid nimpigie simu huyo dada aongee na mwenzie ndio nikapewa chumba..
 
Short time ndo per Diem za huyo guest keeper. Ila wanaolala muda mrefu ndo vichwa vyako.

Otherwise, you are good to go

Hahaaaaaa Umeni furahisha hiyo per diem.

Mkuu hiyo kuzuia ni all most impossible.Utajuaje watu kama wana ndoa bila cheti? Na hawawezi kutembea na cheti.wewe bwana fanya biashara,kama umeingiza maswala ya dini then usifanye hiyo biashara.

Njia unayoweza kuzuia mfanyakazi asiibe hizo hela za short time ni kuweka CCTV cameras kwenye corridor then kila siku unaangalia muda mtu alioingia na kutoka.
 
hahahah! Ilishawah kunikuta dhahama hiyo mm, kama sio kujulikana na wafanyakaz wa lodge ningelala stend ya mabasi..

hii ni baada ya guest niliyozoea kulala siku hiyo nafka naambiwa kama mtu hujaoa au kuolewa hupati chumba mwenye guest house kaokoka hataki uzinzi...

Mbaya zaid siku hiyo basi lilichelewa kufika boda na mdada niliyemzoea sana hapo guest alikuwa yupo off siku hiyo, ikabid nimpigie simu huyo dada aongee na mwenzie ndio nikapewa chumba..
ulikuwa peke yako au ulikuwa na mtu mnataka kulala chumba kimoja wawili?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom