Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,422
- 4,085
Wakuu habari,
Leo nimekutana na mtu amenishawishi kuigeuza gari yangu binafsi kuwa uber, Naomba kufahamu je inalipa?
Gari yangu ni mpya sio kwamba nina shida sana na pesa bali amenishauri kwamba kwa muda ambao silitumii gari basi liwe barabarani kama uber.
Binafsi sitoweza kuendesha kama dereva wa uber hivyo lazima nitamkabidhi dereva kwa mkataba.
Je, vipi kuhusu usalama wa chombo changu? Naomba wenye uzoefu na hii biashara mnishauri.
Nawasilisha.
Leo nimekutana na mtu amenishawishi kuigeuza gari yangu binafsi kuwa uber, Naomba kufahamu je inalipa?
Gari yangu ni mpya sio kwamba nina shida sana na pesa bali amenishauri kwamba kwa muda ambao silitumii gari basi liwe barabarani kama uber.
Binafsi sitoweza kuendesha kama dereva wa uber hivyo lazima nitamkabidhi dereva kwa mkataba.
Je, vipi kuhusu usalama wa chombo changu? Naomba wenye uzoefu na hii biashara mnishauri.
Nawasilisha.