Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Jamani uchaguzi umeisha lakini ni tukio ambalo limeacha mijadala mingi vinywani mwa watanzania wote! Kuna kuchakachua! Kuchakachuliwa na mengineo mengi tu bado hayajaisha tutaendelea kujadiliana mpaka tuone mwisho wake.
Kwa upande wangu mimi ni kua katika zile ahadi lukuki kwa kila mgombea walivyoahidi bado tunasubiri tuone matekelezo yake bila ya kusahau ile ahadi ya kule kwa wakwe zangu KIGOMA kua DUBAI nyie acheni tu! Lakini ahadi zote zilikua na changamoto zake na ni zakufurahisha na kuleta matumaini kama kweli zitatekelezeka!
Kilichonipa msukumo wa kuandika hii topic ni ile ahadi ya yule mgombea kupitia chama cha UPDP Ndugu Fahmi Dovutwa kuahidi kua akipata ridhaa ya kupata kukalia kile kiti cha Urasi atajenga kiwanda cha silaha!
Jamani Greaty Thinkers naombeni mchango wenu huyu jamaa alikua anamaniisha nini kwenye taifa hili la amani tuwe na kiwanda cha silaha?
Kwa upande wangu mimi ni kua katika zile ahadi lukuki kwa kila mgombea walivyoahidi bado tunasubiri tuone matekelezo yake bila ya kusahau ile ahadi ya kule kwa wakwe zangu KIGOMA kua DUBAI nyie acheni tu! Lakini ahadi zote zilikua na changamoto zake na ni zakufurahisha na kuleta matumaini kama kweli zitatekelezeka!
Kilichonipa msukumo wa kuandika hii topic ni ile ahadi ya yule mgombea kupitia chama cha UPDP Ndugu Fahmi Dovutwa kuahidi kua akipata ridhaa ya kupata kukalia kile kiti cha Urasi atajenga kiwanda cha silaha!
Jamani Greaty Thinkers naombeni mchango wenu huyu jamaa alikua anamaniisha nini kwenye taifa hili la amani tuwe na kiwanda cha silaha?