mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,643
- 9,741
Chanzo cha pesa kwenye hyo kampuni yako ni Nini?Hii kitu sio lazima uanze na kiingilio cha sh. 3000 ukisoma vizur hapo utaona kuna viingilio tofauti tofauti, ni kwa sababu kama umeamua kujiunga kwa kifurushi cha sh. 3000 basi hata hao utakaowaunga watakuwa wanajiunga kwa sh. 3000 natumia kiwango cha chini zaidi nikilenga maisha halisi ya watanzania wengi kwani hawana kipato kikubwa Ila kama MTU unachannel za watu ambao unajua wanaweza kujiunga kwa vifurushi vikubwa haina shida unajiunga tu.....
Halafu nyie mnaosema hii kitu ni ujinga kuliko kubeti mnakosea betting unarisk pesa ambayo unajua unaweza ukala au ukaliwa hapa tunafanya investment ambayo ukishaweka pesa Mara moja unategemea kupata faida kwa kipindi Fulani na hii utaona inafaida haraka kama utakuwa na channel ya watu wengi....
Changamoto ya hizi biashara ni kwamba unamtegemea MTU ajiunge then ndo ulipwe lakini sidhani kama ni jambo jema kusema kuwa hii kitu ni ya utapeli....kuna system ambazo ni zakimatapeli lakini sio hii