Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Taja mtu mmoja alie tapeliwa na Ontario.. TMT unaijui ? unajua ilikua inafanya kazi gani?? yani unashinda kupata jina au mtu mmoja tu unae mjua katapeliwa na Ontario alafu unavimba hapa kusema jamaa katapeli watu ? acheni hayo mawazo ya kijinga

Tupambane kutafuta pesa na si vinginevyo
Ushajibiwa kuhusu utapeli wa Ontario ,watu kibao waliweka hadi screenshots zake humu za utapeli ,umeambiwa alipost mjengo wa watu akajifanya amemjengea mzazi wake ,mdau akamwambia aondoe ile picha akamblock hadi ushahidi hupo wa screenshots.

Acheni utapeli nyie fanyeni kazi halali watu wanatafuta hela katika mazingira magumu nyie mnakuja kuwatapeli mtakuja kupata laana.
 
Ushajibiwa kuhusu utapeli wa Ontario ,watu kibao waliweka hadi screenshots zake humu za utapeli ,umeambiwa alipost mjengo wa watu akajifanya amemjengea mzazi wake ,mdau akamwambia aondoe ile picha akamblock hadi ushahidi hupo wa screenshots.

Acheni utapeli nyie fanyeni kazi halali watu wanatafuta hela katika mazingira magumu nyie mnakuja kuwatapeli mtakuja kupata laana.
Nani kajibu ? wapi?
Mjengo wa watu alipost wapi? wapi alisema ni mjengo wake?? wapi aliandika ni mali yake??
 
Nani kajibu ? wapi?
Mjengo wa watu alipost wapi? wapi alisema ni mjengo wake?? wapi aliandika ni mali yake??
Sawa Mkuu endeleeni na utapeli wenu mtakuja kupata mnachokitafuta na pia mnatapeli watu ambao nao wanawaachieni ila ipo siku mtaingia kwenye 18 za MJITA au MTU WA KANDA MAALUM.
 
Sawa Mkuu endeleeni na utapeli wenu mtakuja kupata mnachokitafuta na pia mnatapeli watu ambao nao wanawaachieni ila ipo siku mtaingia kwenye 18 za MJITA au MTU WA KANDA MAALUM.
Teh teh teh huyu dogo unayejibishana nae aliandikaga humu eti ana Fusso tandamu..

Hivi mkuu kwa akili hizo huyo anamiliki chochote kweli?? Mtu anashindania laki moja mitandaoni 😂😂😂
 
Teh teh teh huyu dogo unayejibishana nae aliandikaga humu eti ana Fusso tandamu..

Hivi mkuu kwa akili hizo huyo anamiliki chochote kweli?? Mtu anashindania laki moja mitandaoni 😂😂😂
Hahahaaa hapo alikuwa anatafuta watu wa kuwapiga huyu jamaa ni ONTARIO usikute hata wale aliowapa laki laki wote ni accounts zake mwenyewe!! Lile shindano ni la kuwajaza watu wazidi kumuona yupo njema kifedha ili akiweka semina zake MABUMUNDA yaingie King.

Hahahaa ana Fuso halafu anagombania laki maajabu hayo.
 
Hahahaaa hapo alikuwa anatafuta watu wa kuwapiga huyu jamaa ni ONTARIO usikute hata wale aliowapa laki laki wote ni accounts zake mwenyewe!! Lile shindano ni la kuwajaza watu wazidi kumuona yupo njema kifedha ili akiweka semina zake MABUMUNDA yaingie King.

Hahahaa ana Fuso halafu anagombania laki maajabu hayo.
Teh teh teh teh kuna watu akili huwa sijui wanashikiwaga na nani..

Na nadhani hao aliowapa fedha hakuna hata mmoja ambaye kule Twitter ana ka umaarufu, wote watakuwa ni watu walewale anaofanya nao misheni zile zile..
 
Hahahaaa hapo alikuwa anatafuta watu wa kuwapiga huyu jamaa ni ONTARIO usikute hata wale aliowapa laki laki wote ni accounts zake mwenyewe!! Lile shindano ni la kuwajaza watu wazidi kumuona yupo njema kifedha ili akiweka semina zake MABUMUNDA yaingie King.

Hahahaa ana Fuso halafu anagombania laki maajabu hayo.
Teh teh teh teh kuna watu akili huwa sijui wanashikiwaga na nani..

Na nadhani hao aliowapa fedha hakuna hata mmoja ambaye kule Twitter ana ka umaarufu, wote watakuwa ni watu walewale anaofanya nao misheni zile zile..
Kwa hawa maboya mnapoteza nguvu wakuu
Screenshot_20200814-100750.jpg
 
Unajua soko la wenye kiu ya kutapeliwa ni kubwa. Utapeli hautakaa ukaisha kama wenye nyota ya kutapeliwa wapo!! HAKUNA MTU WA KUKUZALISHIA FEDHA.
 
Mkuu nimesoma post zako nyingi, unahangaika bure kumuelimisha huyu fala. Watanzania wanatakiwa waachwe wapigwe tu ndo watie akili. Mi nimeelimisha watu tangu Tiansh,Q-net, D-9, Amazon.co.uk etc na bado mafala hayaishi. Acha wapigwe tu ndo akili ziwarudi. Na hizo billion 17 za Mr.Kuku natamani serikali ikajengee Zahanati mikoani ndo watu wajue hakuna shortcut wajifunze namna sahihi ya kuwekeza kwa kutumia akili.
Asante sana mkuu....kwa hoja zangu mwenye kuelewa kaelewa.
 
Habari wana chamvi, nimesoma uzi kuhusu mada tajwa hapo juu nami nataka kushirikishana uzoefu wangu kuhusu huyo 'mwekezaji".

Huyo bwana anaitwa Tariq, mwaka juzi 2018 nilisoma bandiko lake fb kuhusu mradi wa kilimo cha nyanya cha umwagiliaji, ahadi ilikuwa nzuri kuhusu faidi ambapo kiwango cha chini cha hisa ilikuwa 36 na kila hisa 5000/= hivyo unapata 180,000 /=

Baada ya miezi mitatu unapata 360,000/= nilitamani kuwekeza japo nilikuwa na shaka, niliongea nae akanielewesha kwamba uwekezaji ni kupitia vikundi vya watu 15, hivyo akaniunganisha na wadau tukawa na kikundi cha What App tulikuwa mikoa tofauti ila mm niliiona na advantage kwa kuwa mradi ungefanyika jirani.

Tukaanza taratibu za katiba usajili wa kikundi, kabla ya kusajili kikundi akasema tutume fedha ili mradi uanze kuendana na wakati ili kuwahi soko la nyanya.

Baada ya kutoa fedha tulipitia ubabaishaji mwingi sana, mara mradi wa arusha hauwezekani kuna shamba moro, wadau wakataka kwenda moro baada ya muda akasema kule eneo linapitiwa na reli mradi utakuwa Tanga akatutumia vi picha vya eneo na ka tank. Wadau wakalazimisha wakaenda Tanga kufika hakuna kinachendelea.

Tukaanza harakati za kukamilisha katiba na mkataba ili tujipange kwa hatua zaidi. Baada ya muda sana akasema amepata hasara hivyo fedha iliyobaki atawekeza mradi wa kuku uliopa kigamboni. Tukaendelea kupambana na kufuatilia.

Baada ya mwaka baada ya kuwa na maamuzi ya kwenda vgombo vya sheria ndo akaturudishia mitaji yetu na kuahidi faida baada ya muda. Baada tu ya kurudisha mitaji hakuwa anapokea simu wala kujibu hoja za group la What App ambalo tulianzisha. Baada ya kuanza tena harakati za kutaka kufuatilia faida akatoka katika kundi kwa jazba na kusema tufanye tunavyotaka hayupo tayari kuendelea na sisi.

Kama ambavyo mmeona tangazo lake ndivyo alivyo huwa hajibu wala kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu hoja.

Pamoja na kwamba uoga wako ndo umaskini wako ila kwa wawekezaji wa kibongo bora kuwa mwoga. "invest on your own risk"

Nawatakia wakati mwema.
.
If it's too good to be true, it's probably is.
 
Ushirika haujawahi kufanikiwa Tanzania.Unachukua hela zako unampelekea mwanamme mwenzako kienyeji enyeji tu.mnawazaje?
 
Biashara Kama za ya Mr kuku zipo nyingi sana mf. Salvation farm,weku na no wote wanafanya the same thing
 
Haya Haya Kunekucha Sasa Hivi
Asiye Na Mwana Aeleke Jiwe....m


Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Baadaye Tutona Msululu Wa Malalamika Haa
IMG-20211029-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom