ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
Hakuna tena hapa jamvini kama MziziMkavu katika jitihada za kutuelimisha katika mambo mbali mbali kuhusu vyakula, magonjwa na mambo mengine mbali mbali. Ubarikiwe sana Mkuu.
huyu anastahiki kupewa ufanyakazi bora keep it up.umejiandaaje kuupokea mwenzi wa toba?