I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,726
- 10,019
Filamu ya passion of christ ilitoka rasmi mwaka 2004 tarehe 25 mwezi wa 2 ikiwa imeongozwa na mwongoza filamu maarufu Mel Gibson ambaye pia aliwahi kuongoza utengenezaji wa filamu iliyofanya vizuri miaka ya 2000; filamu inayokwenda kwa jina la apocalypo.
Passion of christ ni filamu maarufu sana ambayo maudhui yake yaliegemea zaidi katika sehemu inayoelezea mateso na kifo cha Yesu Kristo. Inaelezwa kuwa Mwigizaji mkuu aliyeigiza kama Yesu Jim Caviezel wakati wa shoot movie hiyo matukio kadhaa na mengine ya kushangaza yalitokea na kwamba Matukio hayo mengine yalimuacha na maumivu mwili mwake. Alieleza Jim Caviezel.
Matukio hayo yalikuwa;
• Alipigwa radi kadhaa yeye na baadhi ya watu waliokuwa katika shughuli hiyo.
• Aliteguka bega katika sehemu aliyokuwa anashoot scene ya kubeba msalaba.
• Alitakiwa kuwa macho saa 8 usiku kwa siku kadhaa kila siku ili afanyiwe makeup ya vidonda na uvimbe.
• Kwa bahati mbaya wakati kwa kushoot scene ya kupigwa mijeredi baadhi ilitokea kumpata ukweli mwilini mwake.
• Alijikuta akiugua ghafla pneumonia kwa sababu alitakiwa kuwa bila nguo mwilini msalabani na sehemu baadhi zilitakiwa kufilmiwa asubuhi kipindi ambacho kilikuwa na baridi sana.
• Mmoja wa waigizaji aliokoka kipindi hicho cha utengenezaji wa filamu na kuomba kubatizwa na Padre mmoja aliyekuwepo eneo la tukio. Baada ya pale aliwabatiza pia watoto wake na mke wake.
• Mwanamama aitwaye Maia Morgenstern aliyeigiza kama Mama yake Yesu alikuwa mjamzito kipindi hicho.
Filamu hii imetengenezwa kwa lugha 3 ambazo ni English Language, Aramaic, Latin name Hebrew. Bajeti iliyotumiwa kutengeneza filamu hii ni dolla za kimarekani $30million na kuingiza faida kwenye boxoffice zaidi ya kiasi cha dolla za kimarekani $622.3 million. Muda wa filamu hii ni dakika 127.
Passion of christ ni filamu maarufu sana ambayo maudhui yake yaliegemea zaidi katika sehemu inayoelezea mateso na kifo cha Yesu Kristo. Inaelezwa kuwa Mwigizaji mkuu aliyeigiza kama Yesu Jim Caviezel wakati wa shoot movie hiyo matukio kadhaa na mengine ya kushangaza yalitokea na kwamba Matukio hayo mengine yalimuacha na maumivu mwili mwake. Alieleza Jim Caviezel.
Matukio hayo yalikuwa;
• Alipigwa radi kadhaa yeye na baadhi ya watu waliokuwa katika shughuli hiyo.
• Aliteguka bega katika sehemu aliyokuwa anashoot scene ya kubeba msalaba.
• Alitakiwa kuwa macho saa 8 usiku kwa siku kadhaa kila siku ili afanyiwe makeup ya vidonda na uvimbe.
• Kwa bahati mbaya wakati kwa kushoot scene ya kupigwa mijeredi baadhi ilitokea kumpata ukweli mwilini mwake.
• Alijikuta akiugua ghafla pneumonia kwa sababu alitakiwa kuwa bila nguo mwilini msalabani na sehemu baadhi zilitakiwa kufilmiwa asubuhi kipindi ambacho kilikuwa na baridi sana.
• Mmoja wa waigizaji aliokoka kipindi hicho cha utengenezaji wa filamu na kuomba kubatizwa na Padre mmoja aliyekuwepo eneo la tukio. Baada ya pale aliwabatiza pia watoto wake na mke wake.
• Mwanamama aitwaye Maia Morgenstern aliyeigiza kama Mama yake Yesu alikuwa mjamzito kipindi hicho.
Filamu hii imetengenezwa kwa lugha 3 ambazo ni English Language, Aramaic, Latin name Hebrew. Bajeti iliyotumiwa kutengeneza filamu hii ni dolla za kimarekani $30million na kuingiza faida kwenye boxoffice zaidi ya kiasi cha dolla za kimarekani $622.3 million. Muda wa filamu hii ni dakika 127.