Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,397
- 8,852
Nzuri sana, sikuwa JF kwa muda kidogo, nimewamisi sana.Nipo bepari, za siku.
Nzuri sana, sikuwa JF kwa muda kidogo, nimewamisi sana.Nipo bepari, za siku.
Viuno vya uhakika wa kurusisha marejesho kwenye vikoba🧐 Kama natuona hapo hata kama mzeebaba ana kibamia unatoa kilio cha kujifanya unaumia 😆 wanawake tutakaokutana peponi ni wachache sanaFatilia hizo siku utajua ni ukweli...😁
Hata viuno haupigi sana, kidogo tu mtu anapata orgasm
We single mwenye mapengo umefata Nini huku..?
Acha uchawi we mtoto!
TumepigwaPia tarehe za mishahara hamu zinakuaga juu sana, sijui hormones nazo zinajuaje hizo siku.
We single mwenye mapengo umefata Nini huku..?
Kweli kabisa.Pia tarehe za mishahara hamu zinakuaga juu sana, sijui hormones nazo zinajuaje hizo siku.
Urogwe na nani wewe!!Kipindi narogwa Mimi mbona hukutetea..?
Upo single ndio sema unavumilia..🤣
Single tena!!
Mchawi karaba..😂Urogwe na nani wewe!!
Upo single ndio sema unavumilia..
Tuachane na hayo vipi haujambo..?
Wacha bwana!!
Marahabaa! Sijambo kabisa, nawe hujambo?Tuachane na hayo vipi haujambo..?
Mi sijambo ila Nina ujumbe wako toka moyoni mwangu..😊Marahabaa! Sijambo kabisa, nawe hujambo?
Huo moyo ambao una mvurugano mkuu una ujumbe tenaMi sijambo ila Nina ujumbe wako toka moyoni mwangu..
Vere siriaz
Ha ha ha haPia tarehe za mishahara hamu zinakuaga juu sana, sijui hormones nazo zinajuaje hizo siku.