Fahamu Vivinjari (Browsers) maarufu zaidi duniani

Chrome ni kwa sababu inakuja by default kwenye devices za Android ila tofauti na hapo wengi hawaijuwi na inakula sana RAM

Ingawa ndiyo ninayoitumia lakini bado Firefox ni bora zaidi
 
Chrome ni kwa sababu inakuja by default kwenye devices za Android ila tofauti na hapo wengi hawaijuwi na inakula sana RAM

Ingawa ndiyo ninayoitumia lakini bado Firefox ni bora zaidi
Ila mpaka kwenye desktop ambako Chrome sio default bado inatawala na Mozilla inazidi kuanguka.
 
Aiseee kumbe mimi niko tofauti kiasi na wengine!

Kwenye simu natumia Samsung browser & Kiwi browser! Kwanini Samsung na hiyo kiwi?

Samsung browser unaweza install adblocker hii sio case lakini nachoipendea zaidi ni kwamba ninapo login site yoyote kupitia hii browser basi ina save zile credentials zangu, siku nyingine nikitaka ku login inanipa option ya ku login kwa Fingerprint tu chap na sio tena kukaa na jaza jaza credentials zangu mara kwa mara hata kama nimesahau password basi Fingerprint inaniokoa yaani ni chapu tu so hiki kitu sijakiona kwenye browser nyingine kulogin kwa Fingerprint labda ile Autofill ya Chrome na mimi ni wale watu wa kutembelea sites nyingi zenye kuhitaji ku sign up!

Kiwi browser, hii naipenda kwa sababu unaweza install baadhi ya extensions kama tu vile browser ya kwenye computer, hii unaweza install mpaka extensions za kudownload videos za YouTube na sites zingine kama Instagram n.k pia unaweza download audio kwenye protected sites ambazo hawaruhusu kudownload audio contents zao kwa hii browser sasa kuna extensions zinafanya hiyo kazi like IDM ya computer!

Kwa lapy natumia Microsoft Edge ndiyo naona ina unafuu na nyepesi mno na iko faster, ila Chrome ilinishinda make inakula RAM sana na pia ni nzito kufunguka saa ingine..


N'way natumia hizo browsers kutokana na nature ya shughuli zangu..
 
Chrome ni kwa sababu inakuja by default kwenye devices za Android ila tofauti na hapo wengi hawaijuwi na inakula sana RAM

Ingawa ndiyo ninayoitumia lakini bado Firefox ni bora zaidi
Uko sahihi sana, kwa simu natumia Firefox, kwa Pc natumia Edge.
 
Back
Top Bottom