Yule Daudi, Hosea, Ezekiel wa kwenye Bible sio marehemu?Dah noma kweli kweli aisee.
Lakini marehemu hasemwi
Hebu siku moja vunja sheria halafu ukajitetee mahakamani kuwa binadamu hajakamilika uone utapatwa na kitu gani!Kauli ya binadamu hajakamilika ni kauli ya kilofa.Mkuu binadamu yupo accountable na responsible kwa kila analofanya.Ndo ya binadamu hajakamilika
Kwa kweli Hilo nalo nenoMbona ulipoambiwa reli imekamilika kwa asilimia tisini ulikaa kwa kutulia?tuliambiawa reli ya Moro itaisha 2019 Leo Ni 2021 bado tu Ni asilimia 90; hushangai
Wanao ona mbali bhn wameshagoma lakini hatari tupNdio ujue kuna watu ni wendawazimu nchi hii, hata Magufuli alishasema mbona, ni walevi na mataahira. Ujenge Bagamoyo halafu SGR inafanya kazi gani, itabeba nini toka Dar port? Au ndio tusema pesa zote za SGR ndio zimepotea bure?
Mwingine anaeshindwa kutumia akili zake vizuri anataka tuachane na Rufiji, ina maana pesa zote tulizotumia zimepotea bure?
Mbona ulipoambiwa reli imekamilika kwa asilimia tisini ulikaa kwa kutulia?tuliambiawa reli ya Moro itaisha 2019 Leo Ni 2021 bado tu Ni asilimia 90; hushangai
Ss tutatumia mabas tu c tunajifanya hamnazoKweli kanda ya Kaskazini mwendazake alikuwa hatupendi. Yani miji ya kimkakati (strategic regions) kama Arusha, Tanga na Kilimanjaro aligoma kabisa kuweka hata robo kilometer ya SGR?
Hatari sana yule mzee kwa ukanda na ukabila.
Nateseka kutokea kanda maalum.