Fahamu sifa kubwa ya Infinix Hot 10 PLAY zaidi ya Samsung A02S

Siku moja kipindi natumia tecno nilikua nawacrush sana kwemye forrum yao. Siku moja nikaona mada jamaa anaisifia Tecno Spark K9 dhidi ya Iphone 7 .


Niliacha haraka sana kutumia hiyo forrum
😂 😂 😂
 
Mafundi kanjanja wa kkoo, wanawaibia maboya sana, bora umempa za uso
Ndo unavyojidanganya sio?,

Hiyo kitu ikishalock kurecovery password ni kipengere kingine,

Kuna watu na elimu zao huwa wanashindwa kurecovery, sio kama wanashindwa kufuata maelezo, hapana ila utashangaa unaingiza namba ya simu uliyofungulia Oppo ID na bado inakugomea,

Mfano halisi leo kuna jamaa alikuja na iPhone 6s plus, ipo desabled baada ya kuingiza lockscreen passcode mara kadhaa na anasema alikua anaingiza kwa usahihi lakini akashangaa inakataa, nikairestore kwa iTunes kisha nikaanza kumsaidia kurecovery password ya iCloud, kwenye taratibu za kurecover wanaonyesha namba kabisa ambayo watatuma veryfication code lakini cha ajabu msg hazingii na laini ipo hewani, ikabidi nimwambie tutumie email ndo wakatuma kupitia email, lakini bado kwenye kurecovery ikawa inagoma kutokana na kujaribu mara nyingi ikawa suspended kwa masaa 24

Nyie mnaojifanya wajuaji ndo huwa mnaibiwaga simu kizembe sana kwa madai simu zenu mmeziwekea security, lakini zikipelekwa kwa mafundi simu huwa zinavurugwa kirahisi sana

Watu wanatoa iCloud za iPhone zenye MEID na simu inashika Network sembuse hizo OPPO?

SIKU JISAHAULISHE PASSCODE KWA MADAI UMEILINK NA OPPO ACCOUNT KISHA ANZA KUIRECOVER NDO UTAKAPOJUA HUJUI
 
password nimelink na oppo account

Oppo account nimelink na namba ya simu.

Namba ya simu nimesajili na NIDA.

150K yangu hupati
Ukishasahau password hata access ya Oppo account hupati mpaka utumie pc au device nyingine

Kulink na namba ya simu unaweza ukalink ila kwa mitandao hii ya kibongo bongo utashangaa sms haziingii
 
Ukishasahau password hata access ya Oppo account hupati mpaka utumie pc au device nyingine

Kulink na namba ya simu unaweza ukalink ila kwa mitandao hii ya kibongo bongo utashangaa sms haziingii
Jins nimelink vitu vyangu suala la password kusahau au kusumbua ni ndoto ya mchana bro.


Nina hakika kabisa.
 
Ndo unavyojidanganya sio?,

Hiyo kitu ikishalock kurecovery password ni kipengere kingine,

Kuna watu na elimu zao huwa wanashindwa kurecovery, sio kama wanashindwa kufuata maelezo, hapana ila utashangaa unaingiza namba ya simu uliyofungulia Oppo ID na bado inakugomea,

Mfano halisi leo kuna jamaa alikuja na iPhone 6s plus, ipo desabled baada ya kuingiza lockscreen passcode mara kadhaa na anasema alikua anaingiza kwa usahihi lakini akashangaa inakataa, nikairestore kwa iTunes kisha nikaanza kumsaidia kurecovery password ya iCloud, kwenye taratibu za kurecover wanaonyesha namba kabisa ambayo watatuma veryfication code lakini cha ajabu msg hazingii na laini ipo hewani, ikabidi nimwambie tutumie email ndo wakatuma kupitia email, lakini bado kwenye kurecovery ikawa inagoma kutokana na kujaribu mara nyingi ikawa suspended kwa masaa 24

Nyie mnaojifanya wajuaji ndo huwa mnaibiwaga simu kizembe sana kwa madai simu zenu mmeziwekea security, lakini zikipelekwa kwa mafundi simu huwa zinavurugwa kirahisi sana

Watu wanatoa iCloud za iPhone zenye MEID na simu inashika Network sembuse hizo OPPO?

SIKU JISAHAULISHE PASSCODE KWA MADAI UMEILINK NA OPPO ACCOUNT KISHA ANZA KUIRECOVER NDO UTAKAPOJUA HUJUI
Wadanganye/waibie hao hao, sitapeleka simu kwa fundi kisa kusasahau password, wanaokuletea hawajielewi
 
Wadanganye/waibie hao hao, sitapeleka simu kwa fundi kisa kusasahau password, wanaokuletea hawajielewi
Mkuu, huibiwi, pia hulazimishwi wala hakuna atakayekushawishi upeleke simu yako kwa fundi, fundi simu ni kama daktari wa binadamu, mmiliki ukiona unashindwa kutatua tatizo husika ndipo utakapojikuta unawaona wenye ujuzi

Na hizo simu ukipeleka kwa fundi usidhani atahangaika kurecovery password, hapana

Atakachokifanya ni kuiondoa kabisa, anaiondoaje? sasa hapa ndo linapokuja suala la matumizi ya vifaa kama pc na boxes(ambazo bei zake zimechangamka)

Hivyo fundi atakachokifanya anakupa bei kulingana na ugumu wa kazi na vitendea kazi vitakavyotumika hivyo usidhani unaibiwa au unadanganywa

Kama unajijua una kichwa kizuri kutunza kumbu kumbu ni jambo jema ila usiseme kwamba mafundi simu ni wezi hii ni kazi kama kazi zingine maana watu wananunua microscope mpaka 5 milions kwa ajili ya ufundi simu hivyo unapoambiwa simu flani gharama yake ni kiasi fulani usiropoke eti unaibiwa kama ni hivyo simu yako kama ikitokea umesahau password ihifadhi mpaka utakapoikumbuka (hii mara nyingi huwa nawaambia wateja)
Tena huwa namwambia achague moja kati ya mambo mawili aweke simu kwenye droo ili afanye jitihada za kukumbuka password au atoe pesa ifutwe

Binafsi wapo wateja wanaokuja kuniomba ushauri ni simu gani ya kununua kati ya Oppo, Vivo, xiaomi na Samsung
Huwa nawaambia ukweli tu, "KAMA UNAKICHWA KIZITO KWENYE MASWALA YA KUKUMBUKA PASSWORD NUNUA SAMSUNG, ILA KAMA UNA KICHWA CHEPESI NA UNAJIJUA HUWEZI KUSAHAU PASWORD JICHAGULIE KATI YA OPPO, VIVO AU XIAOMI"
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom