Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
- Thread starter
- #101
Kuna haja ya kukesha na kuomba.Tuliosonga umri tunatabu sana
Kuna haja ya kukesha na kuomba.Tuliosonga umri tunatabu sana
Nitajuaje ya kwenye baahawanywi bia nyingi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wanasali na kumwomba Mungu huku wakitafuta na ndiyo kanuni ya Imani.Kumbe wanakuja kwenye mawindo sio ibada wanaume tutakoma tunasakwa kila kona sijui tutatokea wapiView attachment 1031198
Sent using Jamii Forums mobile app
Usifanye hivyo naomba nitimize wajibu wangu kama mwenza wa maisha yako
Pita kmyaaaaaa
Nipe zawadi basi
Habari JF mapenzi.
Wadada wengi waliosonga umri hupenda kutafuta attention kwenye mikusanyiko ikiwa ni pamoja na kanisani ili waonwe na wakaka au wababa wasioa. Njia hizi ni:
1. Kuchelewa kwenda kutoa sadaka, anaenda mwishoni huku watu wote wamemaliza ili kila mtu amwone.
2. Kuchelewa kushiriki Ekaristi takakatifu kwa wale wa Rc kwa minajili ileile anakuwa wa mwisho kabisa, akichelewa kidogo anaweza kukuta padri au sister anajiandaa kurudisha ekaristi iliyobaki.
3. Kuvaa nadhifu kabisa kama binti wa heshima na ikiwezekana nguo zibane mwili kama kaumbika, kama hajaumbika atavaa kadri ya mwili wake.
4. Amalizapo kutoa sadaka au kula ekaristi huja pole pole ktk kiti chake kwa mwendo wa madaha huku akiangaza macho kwa watu wa pande zote kanisani.
5. Huvaa miwani japo sio wote kuimarisha muonekano.
6. Humsalimia kila aliye jirani yake kanisani kwa sauti ya chini haswa vijana wa kiume kama ibada haijaanza
7. Aghalabu/Mara nyingi viatu vyao hutoa mshindo au kelele atembeapo.
8.Endelea.........
Embu lete wakoHuo ni mtizamo wako tu.
Kumteka mama mkweMbinu kubwa nayowashauri mabinti kupata wenzi tena nyepesi kabisa ni kuhakikisha mama wa yule kijana unayempenda anafurahi fulls top.
Ni pakubwa sio kiasi
Nyie watu Uzi wangu unataka kuwaletea jambo la kheri.Usifanye hivyo naomba nitimize wajibu wangu kama mwenza wa maisha yako
Bila hiyana mkuuNyie watu Uzi wangu unataka kuwaletea jambo la kheri.
Baraka za Mola ziwe nanyi.Bila hiyana mkuu
Imani ina siri kubwa, Mungu atuongoze.kwa wale walokole, muda wa kuabudu utaona vile anaimba kwa sauti ya uchungu na machozi ya haraka mpaka anapiga magoti tena akiwa mbele.
Nb: sio wote. One love walokole wenzangu, sipo kuwakashifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huweleweki
Unadhani ni suluhu?
AminaDini na iheshimiwe na watu wote.
Acha kulihusisha kanisa na mambo ya kutafutana kimapenzi