Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,191
Nawasalimu toka Kijiji Cha Wishiteleja. Wilaya Kishapu, Mkoani Shinyanga.
Ngoja twende kwenye mada, maana staki kumchosha mtu hapa.
Sasa baada ya kuweka tangazo la kutafuta Mchumba, Mume nk. Maombi huingia kwa wingi sana. Mchakato wa kuchakata maombi huanza rasmi..
Kwanza zitajibiwa PM , ID zenye dalili za ' Usereouz '. Wale w waliotuma maombi kiutani utani huu ndio unakuwa mwisho wao.
Baada ya kupewa ushirikiano kwa baadhi ya ID, hatimae mchakato hupitisha watu15 kwenda hatua inayofata..
Umri, location . Dini . Kazi nk ndio vigezo vikuu.
Hawa15 nao hupewa ushirikiano sawa. Kwa kuwa lengo ni kumpata mmoja, basi 5 kati yao hukatwa rasmi. Na kufanya idadi kuwa10.
Hawa kumi nao hupewa ushirikiano sawa. Mchakato huwaengua wenye watoto. Vitambi. Wafupi nk. Na kufanya idadi kufikia5.
Sasa hawa5 huenda mbali zaidi na kupewa namba kwa mawasiliano zaidi. Sasa ukiona umepewa namba na mdada ' anayetafuta ' mchumba, basi tambua umeingia top5
Hapa Ujasusi huwa mkubwa zaidi. Kwani huangaliwa anayejali. Asiye na hasira. Sio Mlevi nk..
Tamaa za kuomba papuchi huwaponza wengi hapa, na kupelekea kuenguliwa kwa3. Na kufanya idadi kubaki 2.
Hawa wawili mmoja anaenda kuuvunja mfupa uliowashinda wengi..
Sasa iko hivi, kwa kuwa Mchezo mzima umeendeshwa Kijasusi. Hii itapelekea wale walioingia final kujihisi wanaChunguzwa pia. So mchezo unageuka kuchunguzana. Uhalisia unapoteza. Mchakato unakufa rasmi.
Mdada anarudi na title ' Bado natafuta ......'
Ushauri.
Haya matangazo ya kutafuta sio ya kushobokea wanangu. Tunakatwa km wagombea wa kile chama..
Usisubiri aweke tangazo. Anza leo kubonga nae.
Uzi unaofata- Najuta kulipia ' huduma ya fasta.. '
Nimemkataa Shetan na mambo yake yote..
Ngoja twende kwenye mada, maana staki kumchosha mtu hapa.
Sasa baada ya kuweka tangazo la kutafuta Mchumba, Mume nk. Maombi huingia kwa wingi sana. Mchakato wa kuchakata maombi huanza rasmi..
Kwanza zitajibiwa PM , ID zenye dalili za ' Usereouz '. Wale w waliotuma maombi kiutani utani huu ndio unakuwa mwisho wao.
Baada ya kupewa ushirikiano kwa baadhi ya ID, hatimae mchakato hupitisha watu15 kwenda hatua inayofata..
Umri, location . Dini . Kazi nk ndio vigezo vikuu.
Hawa15 nao hupewa ushirikiano sawa. Kwa kuwa lengo ni kumpata mmoja, basi 5 kati yao hukatwa rasmi. Na kufanya idadi kuwa10.
Hawa kumi nao hupewa ushirikiano sawa. Mchakato huwaengua wenye watoto. Vitambi. Wafupi nk. Na kufanya idadi kufikia5.
Sasa hawa5 huenda mbali zaidi na kupewa namba kwa mawasiliano zaidi. Sasa ukiona umepewa namba na mdada ' anayetafuta ' mchumba, basi tambua umeingia top5
Hapa Ujasusi huwa mkubwa zaidi. Kwani huangaliwa anayejali. Asiye na hasira. Sio Mlevi nk..
Tamaa za kuomba papuchi huwaponza wengi hapa, na kupelekea kuenguliwa kwa3. Na kufanya idadi kubaki 2.
Hawa wawili mmoja anaenda kuuvunja mfupa uliowashinda wengi..
Sasa iko hivi, kwa kuwa Mchezo mzima umeendeshwa Kijasusi. Hii itapelekea wale walioingia final kujihisi wanaChunguzwa pia. So mchezo unageuka kuchunguzana. Uhalisia unapoteza. Mchakato unakufa rasmi.
Mdada anarudi na title ' Bado natafuta ......'
Ushauri.
Haya matangazo ya kutafuta sio ya kushobokea wanangu. Tunakatwa km wagombea wa kile chama..
Usisubiri aweke tangazo. Anza leo kubonga nae.
Uzi unaofata- Najuta kulipia ' huduma ya fasta.. '
Nimemkataa Shetan na mambo yake yote..