kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,030
- 2,168
Hii ni kwa wale wanaotumia fmwhatsaap, yowhatsaap, gbwhatsaap na nyingine kama hizi ila sio kwa wale wanaotumia whatsaap ya kawaida
Fungua whatsaap yako then click kwenye vidot vitatu unavyo viona kwa juu then utaclick option inayoitwa
FOUAD MODS then utaclick
HOMESCREEN then utaclick
STATUS then utaona kwa chin kuna option tatu zinafuatana unatakiwa uzikubal zote yan uzi enable
1.Muted update
2.viewed update
3.recent update
Baada ya hapo ukirud kule kwenye status hutakuta kitu hata watu waweke status ww utakuwa huon kitu
Mm nafanya hivi wakati wa mchana yaan mida ya kaz kiasi kwamb inasaidia kuwamakin na mambo yangu nitaingia whatsaap kama kuna ishu za muhim na huez kupoteza muda maana hakuna vitu vya kushanga shangaa then after mihangaiko ikifika usiku ndo narudia hivyo hivyo kisha na disable ndo nashangaa status za watu sasa
Fungua whatsaap yako then click kwenye vidot vitatu unavyo viona kwa juu then utaclick option inayoitwa
FOUAD MODS then utaclick
HOMESCREEN then utaclick
STATUS then utaona kwa chin kuna option tatu zinafuatana unatakiwa uzikubal zote yan uzi enable
1.Muted update
2.viewed update
3.recent update
Baada ya hapo ukirud kule kwenye status hutakuta kitu hata watu waweke status ww utakuwa huon kitu
Mm nafanya hivi wakati wa mchana yaan mida ya kaz kiasi kwamb inasaidia kuwamakin na mambo yangu nitaingia whatsaap kama kuna ishu za muhim na huez kupoteza muda maana hakuna vitu vya kushanga shangaa then after mihangaiko ikifika usiku ndo narudia hivyo hivyo kisha na disable ndo nashangaa status za watu sasa