Mchakato wa utangazaji wa matokeo ya uchaguzi wa Urais

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
625
938
NEC_Kutangaza_Matokeo.jpg


Kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi za 2020 Kifungu cha 68 kifungu kidogo cha kwanza; Tume ya Uchaguzi baada ya kupokea matokeo ya awali ya Urais yatayoletwa kwao na wasimamizi wa Uchaguzi, baada ya kuhakiki itatangaza matokeo ya Urais kwa Jimbo husika.

Kifungu kidogo cha pili kinaeleza kuwa Tume kabla ya kupokea matokeo ya awali ya Urais kutoka kwenye majimbo yote inatakiwa kuvitaarifu Vyama vya Siasa au Wagombea wanaohusika juu ya tarehe, muda na sehemu ya kujumlishia kura.

Aidha kifungu kidogo cha tatu kinaeleza kuwa, Tume itajumlisha kura zote za awali za urais za kila mgombea zilizoletwa kwao na wasimamizi wa Uchaguzi.

KutangazaMatokeoUrais.png


Kifungu kidogo cha nne kinaeleza kuwa Tume baada ya kujumlisha kura zote za awali itafanya yafuatayo:-

(a) Itarekodi Matokeo hayo kwenye fomu ya Matokeo ya Uchaguzi wa Urais ( fomu No. 27) kama ilivyoelezwa katika taratibu

(b) Itaazimia mgombea mwenye kura nyingi kuwa Rais mteule

(c) Itatoa fomu ya matokeo ya uchaguzi wa urais (fomu No. 27) kwa kila mgombea au wakala wake

(d) Itaonesha Nakala ya fomu ya Matokeo ya Uchaguzi wa Urais (fomu no. 27) katika mbao za matangazo za Ofisi za Tume.

Tume mara baada ya kuazimia Matokeo chini ya Kanuni hizi itatoa cheti kwa mgombea aliyechaguliwa kikionesha yafuatayo:

a) Jina kamili la mgombea aliyechaguliwa

b) Tarehe ya Uchaguzi

c) Wadhifa alioupata mgombea huyo, na

d) Sahihi ya Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti wa Tume
 
View attachment 1608469

Kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi za 2020 Kifungu cha 68 kifungu kidogo cha kwanza; Tume ya Uchaguzi baada ya kupokea matokeo ya awali ya Urais yatayoletwa kwao na wasimamizi wa Uchaguzi, baada ya kuhakiki itatangaza matokeo ya Urais kwa Jimbo husika.

Kifungu kidogo cha pili kinaeleza kuwa Tume kabla ya kupokea matokeo ya awali ya Urais kutoka kwenye majimbo yote inatakiwa kuvitaarifu Vyama vya Siasa au Wagombea wanaohusika juu ya tarehe, muda na sehemu ya kujumlishia kura.

Aidha kifungu kidogo cha tatu kinaeleza kuwa, Tume itajumlisha kura zote za awali za urais za kila mgombea zilizoletwa kwao na wasimamizi wa Uchaguzi.

View attachment 1608472

Kifungu kidogo cha nne kinaeleza kuwa Tume baada ya kujumlisha kura zote za awali itafanya yafuatayo:-

(a) Itarekodi Matokeo hayo kwenye fomu ya Matokeo ya Uchaguzi wa Urais ( fomu No. 27) kama ilivyoelezwa katika taratibu

(b) Itaazimia mgombea mwenye kura nyingi kuwa Rais mteule

(c) Itatoa fomu ya matokeo ya uchaguzi wa urais (fomu No. 27) kwa kila mgombea au wakala wake

(d) Itaonesha Nakala ya fomu ya Matokeo ya Uchaguzi wa Urais (fomu no. 27) katika mbao za matangazo za Ofisi za Tume.

Tume mara baada ya kuazimia Matokeo chini ya Kanuni hizi itatoa cheti kwa mgombea aliyechaguliwa kikionesha yafuatayo:

a) Jina kamili la mgombea aliyechaguliwa

b) Tarehe ya Uchaguzi

c) Wadhifa alioupata mgombea huyo, na

d) Sahihi ya Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti wa Tume
Kuna mahali kwenye sheria hiyo ama kanuni zake hiyo "Partial Presidential election results" imekuwa defined!? Au hata mtu wa kwanza akipiga kura inaanza tayari kuhesabiwa na kisha kutangazwa kama Partial Presidential election results!?
 
Kuna mahali kwenye sheria hiyo ama kanuni zake hiyo "Partial Presidential election results" imekuwa defined!? Au hata mtu wa kwanza akipiga kura inaanza tayari kuhesabiwa na kisha kutangazwa kama Partial Presidential election results!?
😁😁
 
Wakuu, na huo ndio utaratibu utakaotumika kumtangaza jemedari Magufuli maana mpaka sasa ni ameshashinda tayari.
Ccm oyeee
 
Maana hawachelewi kujitangaza wanaongoza kwenye kura hizo, kumbe ni kura moja ya Salary Slip ama Chakaza au hata BAK. Ha ha hahahaa!

Wanataka wakipiga kura kwa wanayemtaka huyo huyo ndio apitishwe na tume. Wanasahau siasa ni sayansi na sayansi ni namba
Namba kama hizi hapa😁😁😁😁 POVU ruksaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
IMG-20201022-WA0086.jpg
 
Wanataka wakipiga kura kwa wanayemtaka huyo huyo ndio apitishwe na tume. Wanasahau siasa ni sayansi na sayansi ni namba
Namba kama hizi hapa😁😁😁😁 POVU ruksaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚View attachment 1609033
Hapo kweli Povu lazima limwagike kwa wahusika. Ha ha haaaa! Halafu niliwatahadaharisha mapema sana hao jamaa kuwa CCM itashinda kwa kura zaidi ya milioni 17. Niliwaambia hawa jamaa kuwa CCM itashinda kwa idadi hiyo ya kura tangu Feburuari 3, 2018 hapa hapa JF. Na ushahidi huu hapa

Chini:Hii picha ya Kigwangwala inanichekesha sana

Hawakunielewa!!! Imeishakula kwao tena hakuna namna. Ha ha haaaa!
 
Hapo kweli Povu lazima limwagike kwa wahusika. Ha ha haaaa! Halafu niliwatahadaharisha mapema sana hao jamaa kuwa CCM itashinda kwa kura zaidi ya milioni 17. Hawakunielewa!!! Imeishakula kwao tena hakuna namna. Ha ha haaaa!
Wameanza kuandaa vidumu vya petrol na kutegesha shot za umeme
Hawa watu sijui akili zao walizipeleka wapi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom