Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
1. Hatua ya kwanza tafuta taarifa kuhusu hiyo kampuni au taasisi inashughulika na nini
2. Hatua ya pili tafuta Angalia ni aina Gani ya huduma wanazozitoa kwa wateja wao
3. Hatua ya tatu fanya utafiti wa juu zaidi kuhusu aina na huduma zitolewazo na ujitahidi uzielewe kiundani zaidi
4. Hatua ya nne tengeneza wazo ambalo unaona litaisadia taasisi au kuwaongezea wateja kupitia wewe
5. Hatua ya tano kishakuwa na hilo wazo fanya mpango ukutane na uongozi wa taasisi au kampuni waeleze nia yako ni kwanini unapenda kufanya nao kazi na kupitia wewe ni mabadiliko ya aina Gani unaweza kuwaletea
Ni hayo kama kuna mwingine ana kuongezea itapendeza akitushirikisha hapa
2. Hatua ya pili tafuta Angalia ni aina Gani ya huduma wanazozitoa kwa wateja wao
3. Hatua ya tatu fanya utafiti wa juu zaidi kuhusu aina na huduma zitolewazo na ujitahidi uzielewe kiundani zaidi
4. Hatua ya nne tengeneza wazo ambalo unaona litaisadia taasisi au kuwaongezea wateja kupitia wewe
5. Hatua ya tano kishakuwa na hilo wazo fanya mpango ukutane na uongozi wa taasisi au kampuni waeleze nia yako ni kwanini unapenda kufanya nao kazi na kupitia wewe ni mabadiliko ya aina Gani unaweza kuwaletea
Ni hayo kama kuna mwingine ana kuongezea itapendeza akitushirikisha hapa