nataka kuongeza, huko zinapunguzwaNenda Gym
nataka kuongeza, huko zinapunguzwaNenda Gym
Ukienda Gym mzee utakula sanaa uzito lazima uje tu...nataka kuongeza, huko zinapunguzwa
gym kuna mazoez mengi...kubeba vyuma kunaongeza uzitonataka kuongeza, huko zinapunguzwa
Nilikua kama wewe na ilinitesa sana kwa mda mrefu mpaka ikafika kipindi nikaelekea kukata tamaa .ila baadae nika google na kusoma documents mbalimbali zinazohusu vyakula vya kuzingatia kama nataka kuongeza uzitoWakuu
Nahitaji niwe na mwili wenye uzito wa kufikia kilo 60 angalau niweze kuwa na muonekano
kwa sasa niko na kilo 54 na mrefu kiasi, nitumie mbinu gani niweze kuongeza uneno na hatimaye uzito wa mwili maana njia ya kula kitimoto, kunywa maziwa na matunda kila uchwao imefeli najiona palepale
msaada tafadhali
Ila kaa ukijua kuwa huwezi kuongezeka kitambi bila kuongezeka matako,hebu jaribu kutafakari utaonekana vipi,ni bora hata ubaki hivyo hivyo maana utazidi kuchekesha watu...Aiseee huyo si mwanaume!
hapo labda nipate ka kitambi flani ivi vha kuchomekea shati lionekane pia cha kufutia simu
Ila kaa ukijua kuwa huwezi kuongezeka kitambi bila kuongezeka matako,hebu jaribu kutafakari utaonekana vipi,ni bora hata ubaki hivyo hivyo maana utazidi kuchekesha watu...
ngoja niongeze juhudi kulaNilikua kama wewe na ilinitesa sana kwa mda mrefu mpaka ikafika kipindi nikaelekea kukata tamaa .ila baadae nika google na kusoma documents mbalimbali zinazohusu vyakula vya kuzingatia kama nataka kuongeza uzito
Hatimaye sahz nimeongezeka kwa zaidi ya 10kg zaidi yako wewe .
Zingatia sana kula vyakula vyenye karolies nyingi mfano Nyama, maziwa, mayai ya kukaanga+wali/ugali mkubwa na kila ukimaliza kula shushia na soda
Hakikisha kabisa usiruke mlo hata moja(asbh, mchana na jioni) na usiruhusu kabisa tumbo libaki tupu .Ikiwezekana kula hata milo minne au mitano kabisa kwa siku . Zingatia kila siku kabla ya kulala kula chakula heavy mfano wali mwingi, nyama na mayai ya kukaanga matatu halafu shushia na soda. Nakuhakikishia mwanangu ndani ya mwezi tuu utajishangaa mwenyewe
NB; Jitahidi sana kuwa free, usiwe na stress