Asalaam aleykum, Hongereni nyote mliopata tiba ya "babu" na wale ambao bado mjitahd kwenda folen imepungua! Baada ya hayo, naamin hum ndan kuna wataalam wa aina zote wakiwemo wa afya. Nimekuwa nikisikia sana kuwa mdalasin unasaidia kuongeza nguvu za kiume,lakin tatizo linakuja kujua ni kwa kiasi gan kuna ukweli ndan yake kwan mara nyng unatumka kama kuongeza radha ya chakula. Vile vile ni upi hasa unafaa; wa unga utumiwapo kama chai au wa magamba unaochemshwa na kuachwa upoe kama baadhi wanavyodai? Na je,mhuska atumie mara ngapi kwa siku na kwa mda gani(duration)!? Ni iman yangu kuwa thread hii itachangiwa na watalaam wenye timamu wenye uwezo wa kupambanua mambo, na wasio leta MZAHA na KEBEHI kwenye mambo ya msingi kwan hao wana FORUM yao!! Natanguliza shukran zangu.
Una nguvu na wengi umewasaidia chukua ule wa magamba usage kwenye blender ile ya kusagia viungo then upime kijiko kizima cha chai halafu weka maji kwenye kikombe kidogo cha chai weka na asali vijiko viwili vikubwa kama ikiwa ya maziwa pia ni nzuri kunywa utaona mabadiliko
mh km umeelewa mpk apo ndo kusema mabadiliko ndo uyajafahamu?...Gaga, Thx. ila fafanua vizuri kuhusu haya 'mabadiliko'...!
Una nguvu na wengi umewasaidia chukua ule wa magamba usage kwenye blender ile ya kusagia viungo then upime kijiko kizima cha chai halafu weka maji kwenye kikombe kidogo cha chai weka na asali vijiko viwili vikubwa kama ikiwa ya maziwa pia ni nzuri kunywa utaona mabadiliko
...Gaga, Thx. ila fafanua vizuri kuhusu haya 'mabadiliko'...!
ehh umewasaidia mwaya...km nawaona vile kesho wife usisahau amdalasin..teh teh!
Una nguvu na wengi umewasaidia chukua ule wa magamba usage kwenye blender ile ya kusagia viungo then upime kijiko kizima cha chai halafu weka maji kwenye kikombe kidogo cha chai weka na asali vijiko viwili vikubwa kama ikiwa ya maziwa pia ni nzuri kunywa utaona mabadiliko
Nakuunga mkono 100%, Gaga take my thanks anywayHili ni janga la taifa na bado wanakula tu mikuku na ngozi zake feki mtakoma atleast sie tunasubiria tu
Una nguvu na wengi umewasaidia chukua ule wa magamba usage kwenye blender ile ya kusagia viungo then upime kijiko kizima cha chai halafu weka maji kwenye kikombe kidogo cha chai weka na asali vijiko viwili vikubwa kama ikiwa ya maziwa pia ni nzuri kunywa utaona mabadiliko
Point of interruption, can someone drink honey mixed with milk?
Point of interruption, can someone drink honey mixed with milk?
kila siku asubuhi muhimu hata kama huna kwa sasa tatizo unastua mara mojamoja
Haina side effect kama viagra?
Manake tusije tukasema tunajiwekea kinga halafu huko mbeleni tukashindwa kufanya kazi mpaka tunywe dawa..
Naomba mwongozo tafadhali...
Point of interruption, can someone drink honey mixed with milk?
Hili ni janga la taifa na bado wanakula tu mikuku na ngozi zake feki mtakoma atleast sie tunasubiria tu