Asali haiwezi kuganda hata siku moja Asali hata ukiitia kwenye Jokofu (Friji) haiwezi kuganda Ukiona Asali umeitia kwenye Friji na imeganda hiyo itakuwa ni Asali Feki iliyochanganywa na sukari na zipo Asali Feki nyingi mjini kuwa muangalifu sana Mkuu TaiJikeNaipenda asali na nimekuwa mtumiaji wa muda mrefu na kwa kiwango kikubwa mpaka nakuwa na wasiwasi wa kudhurika. Niliitumia kama kitu nipendacho sikujua kama ni tiba. X-PASTER & MziziMkavu
1: Asali ikikaa muda mrefu huganda kama sukari, je isipofyonzwa mwilini haiwezi kuganda na kuwa jiwe tumboni?
2: Nasikia ukiichanganya na chai au maji ya moto sana vile vitu muhimu hufa na kubaki makapi, je ni kweli?
Asali haiwezi kuganda hata siku moja Asali hata ukiitia kwenye Jokofu (Friji) haiwezi kuganda Ukiona Asali umeitia kwenye Friji na imeganda hiyo itakuwa ni Asali Feki iliyochanganywa na sukari na zipo Asali Feki nyingi mjini kuwa muangalifu sana Mkuu TaiJike
Mie ninayo na huwa nanunua kwenye chanzo ambacho ninakiamini yaani nilivyosoma hapa mwili umesisimka maana asali mie nayotumia yaani ni nzito alafu si nyekundu kama niliyozoea those days hasa kwa wale wenyeji wa Mwanza na Tabora wataelewa asali nayoizungumzia, hii asali inaganda na ni nzito alafu inakuwa inaweupe flani hivi yaani ukitaka kumimina inachukua muda mrefu mpaka uiweke kwenye jua, au kuganda huko ni kwa namna gani
Ahsante kwa kunitia moyo maana nilishachanganyikiwa ila kwa ladha ni nzuri tena inakuwa ina layer ya weupe kwa juu na lainiHio ni asali mbichi. Inakuwa namna hio. Ni nzuri tu wala haina shaka yoyote nakuhakikishia hilo.
Ahsante kwa kunitia moyo maana nilishachanganyikiwa ila kwa ladha ni nzuri tena inakuwa ina layer ya weupe kwa juu na laini
Asante. Toa sababu kutokukubaliana tuelimike woteNime-Like hii post, lakini hapo kwenye mvinyo mwekundu mimi sikubaliani napo.