Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,267
- 4,973
Biashara.Ikiwa amesha ambukizwa na Virusi Vya Homa ya ini kinga za mwili tu peke yake haziwezi kupambana na hao virusi wahoma ya ini pasipo na kutumia dawa za kuweza kuwauwa hao Virus i wa Homa ya ini ka Hepatitis B Virus. Maradhi ya Homa ya ini ni mabya zaidi kuliko hata Ukimwi.