Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,886
- 2,214
safiii saana umempa za uso, aina ya watu kama hao wapo wengi saana mtandaoni, wengine ndo haoo wanasema "ZIMEDODA" hahaa hajui watu wanapiga pesa tuu
Hao watoto wa manzese mkuu. Wanakaa darajani pale kushangaa magari huku wapo mitandao kuchat ela za bando wanapiga mizinga kwa ndg zao. Kwa kukosa kazi wanashinda umu kupotosha watu. Kama huyo mwingine akaja na picha ii tujue ni mkulima kumbe tapeli tu.
Aisee hatari sana. Afu MTU kama huyo anaweza sema tuma ela nikufanyie mchakato uku nawe ukaamini kweli ni mkulima
Wadau cha msingi mkisikia fursa sehemu kabla ya yote nenda mwenyewe eneo la tukio ukajionee afu ufanye maamuzi.
Kama zimedoda au zinalipa utajionea uko uko na maamuzi sahihi utayapata eneo la tukio.
Ova