Fahamu mambo haya

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
3,900
6,658
1) Ukikaaa kwa dakika 15 bila kutikisika lazima ulale..

2) Mara nyingi mtu anapolia hukumbuka matukio ya nyuma ndio yanamuongezea kilio.

3) Kwa sekunde 3 baada ya kuamka kutoka usingizini binadamu huwa hakumbuki jambo lolote.

4) Watu wenye aibu ndio watu wenye akili zaidi na waaminifu.

5)Binadamu anapokuwa na huzuni huamini kuwa watu wote wengine wanafuraha.

6) Penda kusimama mbele ya kioo na kujihamasisha, kujihimiza, kujiencourage mwenyewe maana huifanya akili yako kuwa imara zaidi.

7) Binadamu anaweza kufa kwa sababu ya uoga....Kwasababu unapooga mwili hutoa kiasi kikubwa cha adrenaline ambacho Inaweza kuwa sumu
 
Kwa hiyo kupata mwenza mwaminifu na mwenye akili inabidi utafute yule aliye na aibu...
Ndio.
Mwanamke lazima awe na aibu na kujiheshimu.
Juzi nilikua kwenye harusi Mlimani city, aisee huwezi kuamini. Kuna mwanamke alikua anachukua vipaja vya kuku majuisi na chupa ya wine na kuweka kwenye kibegi chake.
Yaani alikua Hana aibu au tuseme Soni. Halafu anaonekana wa uchumi wa Kati.
 
Ndio.
Mwanamke lazima awe na aibu na kujiheshimu.
Juzi nilikua kwenye harusi Mlimani city, aisee huwezi kuamini. Kuna mwanamke alikua anachukua vipaja vya kuku majuisi na chupa ya wine na kuweka kwenye kibegi chake.
Yaani alikua Hana aibu au tuseme Soni. Halafu anaonekana wa uchumi wa Kati.
Inaweza kuwa aibu ya kuzugia kumbe pembeni mambo moto..
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom