Fahamu makundi ya tabia za wanadamu

 OCD hii hali inatusumbua wengi ni mateso sana kuwa nayo hasa uwe haupo sawa kiuchumi.

Ukiwa na bahati ukipata mke mwenye hali hii,kisha ukaze kujikuza kiuchumi (maana hali hii haikupi fursa ya kujishusha kueleza eleza shida zako kwa watu inabidi upambane mwenyewe) vingine vyote vitaji-set.

Hii kitu ninayo sikuijua kabla hadi niliposoma hapa ndo nimejitambua.
 
Mi huwa narudia kukagua milango
Wasiwasi mwingi kumbe ni ugonjwa
Ni bora ukarudia kukagua mlango mara mbili kuliko kukubali kwamba uliufunga kumbe umesahau ulitoka nje tena dakika chache zilizopita na safari hii ulipoingia ndani ukasahau kuufunga kabisa. Ko ni bora urudie kuukagua mara mbilimbili itakuwa ni ADVANTAGE kwako!
 
WATAALAMU NA ULE UGONJWA MTU AKIPANDA BASI AU NDEGE AU TRENI AU BAJAJI ANAPENDA KUKAA PEKE YAKE YAANI HATAKI ABIRIA WENGINE WAKAE KARIBU YAKE UTADHANI AMEKODI UNAITWAJE?
 
Yeaah ni tatizo hilo. Hua nakumbana nalo sana.
Nikuulize, Je hua unapata hali ya kutaka kujidhuru kwa kujikata na kiwembe, kujipiga au kujichoma kitu pindi unapokua na hasira au huzuni?
Hapana hapo aisee ila huwa na wasiwasi sana na kupaniki na kukasirika haraka
 
Yaani unajikuta tu kutokana na kuwa na wasi wasi wa kitu fulani basi akili yako inakulazimisha kufanya jambo fulani kuliko hali ya kawaida ili tu kulikwepa lile unaloliogopa. Unaweza ona ni kawaida ila sio kawaida ni ugonjwa. Maana mpaka kufikia kuitwa OCD basi ni kuwa hyo hali tayari inaathiri maisha yako kwenye mahusiano au hata kiuchumi.
Nahisi ninayo hiyo hali. Kuna siku niliondoka nyumbani bila kujiridhisha kama nimezima gesi, aisee nilipata taabu sana kule kazini, sikuwa na raha kabisa. Mawazo ya kurudi kuhakikisha yalikuwa yakinijia sana huku nikitafakari namna nyumba ilivyogeuka jivu. Ila niliporudi baadaye nilikuta gesi imezimwa na hapakuwa na tatizo lolote.
 
Nahisi ninayo hiyo hali. Kuna siku niliondoka nyumbani bila kujiridhisha kama nimezima gesi, aisee nilipata taabu sana kule kazini, sikuwa na raha kabisa. Mawazo ya kurudi kuhakikisha yalikuwa yakinijia sana huku nikitafakari namna nyumba ilivyogeuka jivu. Ila niliporudi baadaye nilikuta gesi imezimwa na hapakuwa na tatizo lolote.
Mara moja moja ni kawaida. Ila tatizo likiwa ni mfululizo kwa muda mrefu ndo inakua maradhi sasa.
 
Unaweza kuta kuna mtu anaogopa maradhi fulani, ila kutokana na woga wake kumzidi anafanya jambo jengine ambalo huenda likamkinga na hayo maradhi (mfano kama usafi) kuliko kawaida. Kutokana tu na kwamba unaogopa maradhi kuliko hali ya kawaida, unaweza kuta mtu anasafisha eneo moja siku nzima na hawezi kujiridhisha kuwa limesafika, kila akikagua ataona bado kuna hitilafu kwahyo atarudia kazi hyo na hatofanya shughuli nyengine kwa vile tu ana hofu ya kupata maradhi.
 
Back
Top Bottom