Fahamu makabila yenye wadada wengi wanaongoza kufungasha mizigo pamoja na miguu ya bia

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Kuna utafiti umefanyika kuhusu makabila ambayo wadada wengi ndo wanaoongoza kuwa na miguu ya bia,shepu pamoja kufungasha mzigo wa kufa mtu Yaani full misabwandaaaaa

1.Wahehe hao ndo wanaongoza nchi nzima hawa wanapatikana mkoani Iringa pamoja na wilaya za Njombe na chakula chao kikuu inasemekana ni viazi lakini pia wanakula sana kitimoto.

2.Wanyambo hawa wanapatikana mkoani Kagera wilaya ya Karagwe ambao inasemekana wana mchanganyiko wa Mnyakole wa Uganda na mtusi wa Rwanda na chakula chao kikuu ni ndizi.

3.Waziba hawa wanapatikana mkoani Kagera sehemu inayoitwa Kiziba ambao pia inasemekana pia wana mchanganyiko wa Muhaya na Mganda na chakula chao kikuu ni ndizi.

4.Wanyakusa hawa wanapatikana mbeya ambao chakula chao kikuu ni ndizi, wali lakini pia hawa pia kitimoto.

5.Wabena hawa wanapatikana mkoani Njombe ambao pia chakula chao kikuu ni viazi na vyakula vingine kama mihogo.

6.Wahaya wanapatikana mkoani Kagera ndani ya wilaya ya Bukoba mjini na vijijini pia chakula chao kikuu ni ndizi.

7.Wahangaza hawa wanapatikana mkoani Kagera wilaya ya Ngara ambao wana mchanganyiko wa n.Myakole, Mtusi warefu na wana shape za kufa mtu.

8.Wanyamwezi hawa wanapatikana mkoani Tabora na haswa wale wanaotokea wilaya ya Urambo na Sikonge ambao kwa mbali wana mchanyiko flani wa shape za kitusi warefu katikati wamejazia chakula chao kikuu ni matobolwa.

9.Wasukuma hawa wanapatikana mkoani Shinyanga, Geita na Mwanza ambao pia wako vizuri na wamefungashia mizigo hatari.

10.Wakerewe hawa wanapatikana katika kisiwa cha Ukerewe mkoani Mwanza ambapo pia inasemekana wana mchanganyiko wa Mjita, Mkala, Msukuma na Mkurya kwa mbali ambao chakula chao kikuu ni samaki.
 
20180607_095647.jpg
Namba 1 ni uongo vile vigimbi halafu wamekauka kuanzia nje mpk ndani

Namba 2, 3, 6 na 7 ni mkoa mmoja tu huo utafiti wako wa kuunga unga
 
sasa kwani wewe unaoa ili kutafuta ama unaoa ili upewe game kitandani la maana.

Game la kitandani hata malaya si anaeza mpa tu, tena kwa bei cheee au hata Jirani yake(in short yeyote tu mwenye papuchi), kuoa ni kusaidiana kimaisha so kutafuta kuna matter sometime
 
wavivu tu hao kinachowalinda ni kitanda maana wanajua sana kukitumia ila kwenye maisha ya kutafuta sasa mmmmh
Nakuunga mkono 90%, ni kwetu lakini balaa lao ni hilo la uvivu. At least wasambaa niwapambanaji tena asiwe kazaliwa na kukulia pale Tanga mjini..!
 
hapo nilichokisoma ni wala ndizi, viazi na kitu moto ndo wenye miguu ya bia na shape ya mvuto.
mbona kwetu moshi hatupo japokuwa tunapiga sana ndizi + kitimoto, arafu nimeoa huku ukizingatia

mtoa uzi mungu anakuona.
 
Back
Top Bottom