Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,489
- 70,279
Brevis ninavyojua kwa kilatini maana yake ni "fupi".Vp kuhusu Toyota Brevis?
Brevis ninavyojua kwa kilatini maana yake ni "fupi".Vp kuhusu Toyota Brevis?
Nimesahau ni uzi ganMm sijaona kitu chochote kinachofanana na hicho! Cross check hiyo sehemu km ilifanya km ulivotaka
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Asante sana mkuu kwa hii taarifa ambayo sikuwahi kujua kabla maana ya hizo toyota mbalimbaliMAJINA MAGARI YA TOYOTA NA MAANA ZAKE.
Kampuni Ya Toyota Ilianzishwa Na Mtu Anayeitwa Toyoda Na Si Toyota Kama Wengi Wanavyofikiria . Mwanzo Ilikuwa Ikijulikana Kwa Jina La Katakana . Kampuni Ya Toyota Ni Ya Mtu Na Familia Yake...
Hapana! Sijaona kitu! Ttz unazurura sanaNimesahau ni uzi gan
Ni Nissan Dualis sio ToyotaToyota dualis?
Hakuna alama ya "Ma Filimansoni" humu kweli?Karibu sana
View attachment 1760952
RAV4 juu kabisa.. Mnyama unaenda naye popote. Kwenye kokoto, vilimani, matopeni, long safari etc.. Mikono juu!MAJINA MAGARI YA TOYOTA NA MAANA ZAKE.
Kampuni Ya Toyota Ilianzishwa Na Mtu Anayeitwa Toyoda Na Si Toyota Kama Wengi Wanavyofikiria . Mwanzo Ilikuwa Ikijulikana Kwa Jina La Katakana . Kampuni Ya Toyota Ni Ya Mtu Na Familia Yake...
Noma sanaKaribu sana
View attachment 1760952
Kwahiyo mtu aliyenunua passo maana yake ameanza kupiga hatua?MAJINA MAGARI YA TOYOTA NA MAANA ZAKE.
Kampuni Ya Toyota Ilianzishwa Na Mtu Anayeitwa Toyoda Na Si Toyota Kama Wengi Wanavyofikiria . Mwanzo Ilikuwa Ikijulikana Kwa Jina La Katakana . Kampuni Ya Toyota Ni Ya Mtu Na Familia Yake...
Hii sio toyota ni nissanToyota dualis?
Hii ndio inatusumbua saa hivi kila nchi.Vp kuhusu
TOYOTA CORONA
kwa sababu ni kampuni ya ccmChadema watachukizwa na hili
Life gumu mkuu