Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,389
- 31,335
Usiogohe hesina kindu.nakuogoha avae nguruvi
Rejea post 28. Izi = sauti
umkundie ula wa clouds fm ena izi ledi atangwa.....
Usiogohe hesina kindu.nakuogoha avae nguruvi
Usiogohe hesina kindu.
Rejea post 28. Izi = sauti
umkundie ula wa clouds fm ena izi ledi atangwa.....
<br />Barbara?
Kumbee!!!Kikwete = Asiyejali
<br /> <br / mtwi wa mughenji ni izungo.Egaya chasu nedho mira etuira ni Mshamba wa Makorora, Ndanga!
<br /> <br / ani?Ena ngoro mbivi tha mthavi...!!
Haaai, esi barabara.Barbara?
Aise ni kweli, sema namna linavyotamkwa 'inavutwa' kidogo...ni kama kuna 'u' mbili baada ya 'g' na ile 'vi' mwisho inakuwa na mshindo (inasikika zaidi)... "Nguuru'vi"....Anyway kuna kwa kabila lingine ikimaanisha mungu (watu 4 wamewasiliana nami kwa hilo).....
Mburi aani preta! ugaya chasu kave. nahavacheethina mburi......
nahavache nguruvi3. afu utuambie nguruvi maana yake nn!
hapo kwenye shemeji wa kike anaitwa 'mkwea'. yaani kaka wa mume wangu ni mkwea!
Mburi aani preta! ugaya chasu kave. nahavache
Mburi=jambo
hethina= hakuna
ugaya=unaongea
Chasu= kipare, Mwasu=mpare
Kave=kumbe
Mpare si neno halisi la kabila ingawa sasa imekubalika hivyo. Original ni Mwasu (a.k.a mwathu). Neno mpare limetokana na historia ya vita kati yao na shirikisho la wachaga(sio kabila). Neno mparee kichaga maana yake mpige na panga, wakati wanapigana wachaga walikuwa wanasema mpare yaani mpige ndipo neno hilo likatokea.
Kipare kinaingiliana kiasi na kisambaa, na wapare wenyewe wanaishi milimani kule Ugweno, Usangi, Mbaga, Vudee, Goma, Kwakoa, mamba miamba n.k.
E bana eeee......... kumbe mko wengi humu...........LOLethina mburi......
Amiride, please please edit your post. Hapa watu wana relax na tunajifunza kipare.chakodika,tho n********