jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Hapo bado lugha za kigeni mfano kiingereza.Kipemba, Kijita, Kibondei, Kipare, Kichaga (Rombo), Kisambaa, Kidigo.
Nimeshindwa lugha hizi
Kikuria kwasababu kinahitaji energy wakati wa kuongea
Kihaya kwasababu lazima upoteze baadhi ya herufi
You also speak foreign language other than the fore mentioned?