Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Katika somo hili cheo cha uchungaji nakipaki pembeni kwa dk chache ili niokoe wasikivu wachache.
Tabia au matendo nitakayoyaorodhesha si kwamba kwa 100% humpelekea mtu kuambukizwa VVU ila huchangia maambukizi.
Kwenye masomo haya kuna msemo unasemwa hivi "CALL THE SPADE A SPADE NOT A BIG SPOON" Yaani chepe iitwe chepe na sio kijiko kikubwa.
Kijana anapima oil kisha anautumia mkono huohuo kuvaa kondomu , hapo hujafanya kitu, ute ule umeingiza ndani ya condom na kujiweka kwenye hatari ya kuambukizwa au kumwambukiza VVU mwenzi wako.
Kijana amezama Uvinza bila kondomu kweupe kisha anavaa kondomu. Ooohh
Kijana/binti anakula koni kisha anasema hapa sitoi mpaka uvae kings, oooohh.
Binti akipata mchumba au buzi jipya hunyoa kipara , oooohhh. Kipara ni hatari kama mmoja wa wapenzi ana VVU.
Naamini vijana tutabadilika, UKIMWI upo, watu husema ni kama malaria ila ukiukwaa utaona mdomo unavyokuwa mzito kutamka neno UKIMWI.
Tabia au matendo nitakayoyaorodhesha si kwamba kwa 100% humpelekea mtu kuambukizwa VVU ila huchangia maambukizi.
Kwenye masomo haya kuna msemo unasemwa hivi "CALL THE SPADE A SPADE NOT A BIG SPOON" Yaani chepe iitwe chepe na sio kijiko kikubwa.
Kijana anapima oil kisha anautumia mkono huohuo kuvaa kondomu , hapo hujafanya kitu, ute ule umeingiza ndani ya condom na kujiweka kwenye hatari ya kuambukizwa au kumwambukiza VVU mwenzi wako.
Kijana amezama Uvinza bila kondomu kweupe kisha anavaa kondomu. Ooohh
Kijana/binti anakula koni kisha anasema hapa sitoi mpaka uvae kings, oooohh.
Binti akipata mchumba au buzi jipya hunyoa kipara , oooohhh. Kipara ni hatari kama mmoja wa wapenzi ana VVU.
Naamini vijana tutabadilika, UKIMWI upo, watu husema ni kama malaria ila ukiukwaa utaona mdomo unavyokuwa mzito kutamka neno UKIMWI.