Elections 2010 Fahamu kwanini jk kashinda sehemu kubwa zaidi

PAS

JF-Expert Member
May 3, 2010
454
8
Katika kipindi kilichopita cha kampeni za vyama, kila mgombea alijinadi kwa sera zake ikiwemo CCM ambao walitoa ahadi za kufa mtu ili mradi tu wapate kura za wananchi..
CCM ili ishinde mbinu wanayotumia ni kudhoofisha sekta ya elimu ili wananchi wasijue kamwe au wasielewe vizuri kuhusu haki zao za kijamii,kiuchumi na kisiasa.
Ukitaka kuona ilo katika elimu wao wanadanganya watu ktk kampeni kua shule zimeongezeka zaidi, lakini kiukweli hakuna walimu, vifaa,hata kama wapo walimu wachache basi mazingira ma malipo ya kazi ni mabaya.

Mfano mzuri alipokua kule mkoa wa manyara JK aliahidi maji kutoka mto ruvu, kwa watu ambao hawajui jografia wataona ni kitu rahisi hivyo wakampa kura .. Je hayo maji yavuke mito yote mikubwa kama wami, mito ya tanga moshin na mbaya zaidi hata ile ya jirani yao Arusha???
Loooh!!!! Kweli elimu wanayowapa ndugu zetu wasio wa mijini haitaweza kuwabadilisha hata ikifika 2015 mana ccm wamejiwekea mizizi ya UBINAFSI,TAMAA,Roho mbaya,Ukatili n.k.
Hii ni ule utawala waliotumia wakoloni (indirect method) ktk kawagawanya waafrika enzi hizo, na hadi leo bado waafrika walio wengi wanawaona wazungu kama mungu wao(wakoloni walipokuja afrki waliangalia lugha ya wenyeji na kuongezea maneno yao PIA WAKIJIFANYA NI WAMISHONARI ili tuwasujudie mfano walisema wao wanaitwa MZUNGU na aliewatuma kazi ya umishonari ni MUNGU.
Wito wangu kwa wanaJF hata kama kuna mtu wa chama gani tubadilike ili tuondokane na ilo janga mana nchi yetu ipo nyuma
.
.
TAFAKARI CHUKUA HATUA....haki elimuuuuu:A S-danger::A S-danger:
 
Watanzania hawadanganyiki kama wewe unavyodhani.

wewe upo eneo gani kwasasa tz???
ebu angalia majimbo yaliyochukuliwa ya ccm ni yale ya kwenye majiji.. pia na sehemu zile za mipakani ambapo kuna fujo watu hawakubali haki zao kuibiwa lakini hapa katikati ya nchi watu hawajielewi kabisaaa mdau..
mbona mayara wamekubali maji ya ruvu
 
Watanzania hawadanganyiki kama wewe unavyodhani.

Mkuu unahakika na unachosema? Kama kweli mtu ana akili timamamu anaweza kuona wazi kuwa huu ni uongo. I can assure you kuwa kaa tukiendelea ufuatiliaji wa utekelezaji wa ahadi hizi naweza kukwambia kuwa unaweza kuwa wa kwanza kulia.

Unajua inachukua muda gani kuufanya mji uwe wa viwanda? Can you beleieve that JK ana uwezo wa kufanya hata wilaya iwe ya viwanda?
Can you believe that kuna uwezekano wa kujenga barabara hata moja? Miaka mitano iliyopita hawajenga barabara hata moja, sasa kuna uwezekano wa kujenga barabara kweli? Hizi ndio ahadi za JK, kama kweli unaakili unajua kabisa kuwa hii ilikuwa danganya toto.

1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora

Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini
Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria-Igunga
Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)- Shinyanga
Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini- Dodoma
Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono-Dodoma mjini
Kuwapatia trekta wakulima -Kata ya Mrijo, Dodoma
Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi-Kagera
Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi-Kagera
Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba-Bukoba Mjini
Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda- Kagera
Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme- Kagera
Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu-Kagera
Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino- Mbeya
Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba-Kagera
Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika-Mwanza
Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu-Mwanza
Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani- Geita
Kulinda muungano kwa nguvu zote-Pemba
Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa-Morogoro
Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa-Mbeya mjini
Kujenga bandari Kasanga –Rukwa
Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira -Mbeya
Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama- Tanga
Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini- Iringa
Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani –Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi -Dar es salaam- Same mkoani Kilimanjaro
Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same-Same Mjini
Kuboresha barabara za Igunga -Tabora
Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu- Kisesa Magu
Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya- Mbeya Mjini
Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN)-Hydom Manyara
Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa- Musoma
Kulinda haki za walemavu- Makete
Kujenga baabara ya Njombe- Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109- Iringa mjini
Kujenga barabara Musoma–Mto wa Mbu Arusha-Arusha
Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma– Kaliua,Tabora
Kukarabati barabara ya Arusha Moshi-Arusha Mjini
Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa,mpaka Singida-Dodoma
Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009- Longido 45.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria-Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha –Arusha mjini
Kukopesha wavuvi zana za kilimo-Busekera, Wilaya ya Musoma, .
Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido- Longido
Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri- Mbulu mkoani Manyara
Kusambaza maji nchi nzima-Babati vijijini
Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015-Babati vijijini Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha.-Iringa
Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika- Iringa
Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania-Iringa
Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi-Ifunda
kutokomeza malaria 2015-Bunda,mkoa wa Mara
kuwapa wanawake nafasi zaidi-Kilolo ,Iringa
ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii-Kibandamaiti Mjini Zanzibar
Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa-Kabandamaiti mjini Zanzibar
Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada-Kibandamaiti
Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay-Ruvuma
Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400-Mbambabay Ruvuma
kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga(MBICU) –Ruvuma
Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania –Ruvuma
Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
Mtwara kuwa mji wa Viwanda –Mtwara
Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu-Kibaha
Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa-Kibaha
Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda -Kibaha
 
Mkuu unahakika na unachosema? Kama kweli mtu ana akili timamamu anaweza kuona wazi kuwa huu ni uongo. I can assure you kuwa kaa tukiendelea ufuatiliaji wa utekelezaji wa ahadi hizi naweza kukwambia kuwa unaweza kuwa wa kwanza kulia.

Unajua inachukua muda gani kuufanya mji uwe wa viwanda? Can you beleieve that JK ana uwezo wa kufanya hata wilaya iwe ya viwanda?
Can you believe that kuna uwezekano wa kujenga barabara hata moja? Miaka mitano iliyopita hawajenga barabara hata moja, sasa kuna uwezekano wa kujenga barabara kweli? Hizi ndio ahadi za JK, kama kweli unaakili unajua kabisa kuwa hii ilikuwa danganya toto.

1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora

Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini
Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria-Igunga
Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)- Shinyanga
Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini- Dodoma
Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono-Dodoma mjini
Kuwapatia trekta wakulima -Kata ya Mrijo, Dodoma
Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi-Kagera
Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi-Kagera
Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba-Bukoba Mjini
Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda- Kagera
Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme- Kagera
Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu-Kagera
Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino- Mbeya
Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba-Kagera
Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika-Mwanza
Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu-Mwanza
Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani- Geita
Kulinda muungano kwa nguvu zote-Pemba
Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa-Morogoro
Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa-Mbeya mjini
Kujenga bandari Kasanga –Rukwa
Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira -Mbeya
Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama- Tanga
Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini- Iringa
Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani –Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi -Dar es salaam- Same mkoani Kilimanjaro
Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same-Same Mjini
Kuboresha barabara za Igunga -Tabora
Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu- Kisesa Magu
Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya- Mbeya Mjini
Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN)-Hydom Manyara
Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa- Musoma
Kulinda haki za walemavu- Makete
Kujenga baabara ya Njombe- Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109- Iringa mjini
Kujenga barabara Musoma–Mto wa Mbu Arusha-Arusha
Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma– Kaliua,Tabora
Kukarabati barabara ya Arusha Moshi-Arusha Mjini
Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa,mpaka Singida-Dodoma
Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009- Longido 45.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria-Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha –Arusha mjini
Kukopesha wavuvi zana za kilimo-Busekera, Wilaya ya Musoma, .
Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido- Longido
Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri- Mbulu mkoani Manyara
Kusambaza maji nchi nzima-Babati vijijini
Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015-Babati vijijini Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha.-Iringa
Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika- Iringa
Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania-Iringa
Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi-Ifunda
kutokomeza malaria 2015-Bunda,mkoa wa Mara
kuwapa wanawake nafasi zaidi-Kilolo ,Iringa
ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii-Kibandamaiti Mjini Zanzibar
Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa-Kabandamaiti mjini Zanzibar
Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada-Kibandamaiti
Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay-Ruvuma
Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400-Mbambabay Ruvuma
kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga(MBICU) –Ruvuma
Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania –Ruvuma
Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
Mtwara kuwa mji wa Viwanda –Mtwara
Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu-Kibaha
Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa-Kibaha
Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda -Kibaha

sio kosa lake mana alikurupuka kujibu tu, wakati hapa tunachangia mada yeye analeta mipasho,
 
Umasikini wa kufikiri na ujinga ulokithiri wa watz wengi ndo mtaji wa mafisadi!
 
Mfano mzuri alipokua kule mkoa wa manyara JK aliahidi maji kutoka mto ruvu, kwa watu ambao hawajui jografia wataona ni kitu rahisi hivyo wakampa kura .. Je hayo maji yavuke mito yote mikubwa kama wami, mito ya tanga moshin na mbaya zaidi hata ile ya jirani yao Arusha??:hippie:

Mkuu Hapa utakuwa umejikanyaga. Mkoa wa Manyara kuna wilaya inaitwa Simanjiro na makao makuu ya wilaya ya Simanjiro ni Orkesumet. Kuna mto unaitwa Mto Ruvu ambao unapita umbali wa kilomita 36 kutoka mjini ambako ndiko kumependekezwa kiwe chanzo cha maji. Usanifu wa mradi unaendelea na unafadhiliwa na fedha za nje. Ni kitu ambacho kinajulikana na kipo kenye bajeti. Hata miradi mingine kama ya Same na Mwanga na Dar es salaam zote zipo kwenye pipeline
 
Mfano mzuri alipokua kule mkoa wa manyara JK aliahidi maji kutoka mto ruvu, kwa watu ambao hawajui jografia wataona ni kitu rahisi hivyo wakampa kura .. Je hayo maji yavuke mito yote mikubwa kama wami, mito ya tanga moshin na mbaya zaidi hata ile ya jirani yao Arusha??:hippie:

Mkuu Hapa utakuwa umejikanyaga. Mkoa wa Manyara kuna wilaya inaitwa Simanjiro na makao makuu ya wilaya ya Simanjiro ni Orkesumet. Kuna mto unaitwa Mto Ruvu ambao unapita umbali wa kilomita 36 kutoka mjini ambako ndiko kumependekezwa kiwe chanzo cha maji. Usanifu wa mradi unaendelea na unafadhiliwa na fedha za nje. Ni kitu ambacho kinajulikana na kipo kenye bajeti. Hata miradi mingine kama ya Same na Mwanga na Dar es salaam zote zipo kwenye pipeline

pamoja na hayo mkuu hivi huo mto umekuepo hapo leo???
hadi asubiri wakati wa kampeni???
je wewe unavozani hizo ahadi zake hapo juu atazitekeleza??
be honest???
 
Kataa kubali, mtaji wa CCM ni UJINGA NA UMASIKINI wa watanzania. Ndiyo maana wakidanganywa wanadanganyika, wakipewa fedha kidogo hata elfu 5 wanakubali kuuza haki yao, wakigeuzwa mabango ya JK kwa kupewa fulana ,kanga na kofia wanauza haki yao.Wangekuwa wameelimika vya kutosha na kuwa na hali nzuri ya uchumi wangezichana chana hizo kanga na fulana na kuwapiga mawe hao makuadi wa mafisadi wanaozileta.Na ndiyo maana wanapinga kwa nguvu zote kutoa elimu bure mpaka kidato cha sita kwani watu wakielimika ndiyo mwisho wa hawa majambazi wa CCM kuwa madarakani.
 
Kuna swala uelewa hapa,ahadi zao ni za kisanii.Afu pia DSM hapa kampeni zilivyoanza barabara karibu zote za mitaa hasa sinza na kinondoni zilichongwa,hivi walikuwa wapi mpaka uchaguzi ufike au ndo kiombea kura,ukiangalia idara fulan fulan za serekali zimeanza kujitangaza kwenye tv sana kwa waliyoyafanya,huo utaratibu ni wa siku zote au kipindi cha uchaguzi tu?kwa bajeti gani na mamlaka gani kutangaza shughuli za umma kama kutangaza biashara.Hiyo hela si ingewasaidia masikini wengi tu wakutupa tulio nao kama hela zipo>Haya sasa uchaguzi umeisha watafanya tena?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom